Uko na point pia haki angekua mwanamke kelele zake watu wangeamka nilijaribu tu kuwaza maybe angefanya jambo kwa haraka sana kabla ya kupostI beg to differ.
He is stuck ndo maana ameomba msaada.
Asingekuwa mwanamme ni yowe moja kwa moja 😀😀
Si unaona anamjali wife na mtoto wasiamke wakashtuka ama akatumia mbinu itakayowadhuru usingizini?
Give the poor man some little credit.
hahahahahaaSoma you tube,
" How to catch anaconda "
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uko na point pia haki angekua mwanamke kelele zake watu wangeamka nilijaribu tu kuwaza maybe angefanya jambo kwa haraka sana kabla ya kupost
Anyway, kumeshakucha ni matumaini yangu huyo nyoka alitokewa ndani kwa kweli
Hilo tu mam, usijali kabisa lazima nikutagAkitoa feedback nitag kipenzitujue kuliendaje
Washa moto kwenye Nyumba atatoka nwenyeweWakuu leo yamenikuta!
Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.
Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.
Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.
Naombeni ushauri.
Washa motoNimeshamwaga mafuta ndani
Well saidMkamate kamtupe mbali acheni kuua ua viumbe ovyo !wakiisha hao kutakuwa na mfumuko wa panya mpaka tuchanganyikiwe .
Paka sikuhz wanakula chips yai nyoka wanajitahida kugonga msosi wa panya nahisi nyoka wote wana asili ya umakonde
Nakiogopa sana hiko kiumbeAcha uongo, kweli unaogopa NYOKA wewe au mi ndo sijaelewa![]()
Khaaaa sasa anamdang'anya naniiii na wakati tupo na I'd fakeHuyu ni mwongo
Tuliowahi kung'atwa na nyoka
green mamba na boomerang hawana vichwa hivyo na wana sumu piaNenda mtafute ndani umuangalie maumbile yake kama analichwa cha pembe tatu ua kwa sababu atakuwa na sumu na kama kichwa chake si pembe tatu mkamate kichwani kisha kamtupe mbali usiue maana hao mara nyingi ni malaika wa bwana
Wakuu leo yamenikuta!
Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.
Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.
Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.
Naombeni ushauri.