MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

I beg to differ.

He is stuck ndo maana ameomba msaada.

Asingekuwa mwanamme ni yowe moja kwa moja 😀😀

Si unaona anamjali wife na mtoto wasiamke wakashtuka ama akatumia mbinu itakayowadhuru usingizini?
Give the poor man some little credit.
Uko na point pia haki angekua mwanamke kelele zake watu wangeamka nilijaribu tu kuwaza maybe angefanya jambo kwa haraka sana kabla ya kupost

Anyway, kumeshakucha ni matumaini yangu huyo nyoka alitokewa ndani kwa kweli
 
utashangaa jitu linakuja "linasema wanaume wa dar ndo zenu hizo hata kinyoka kisicho na sumu mnaogopa"
 
Uko na point pia haki angekua mwanamke kelele zake watu wangeamka nilijaribu tu kuwaza maybe angefanya jambo kwa haraka sana kabla ya kupost

Anyway, kumeshakucha ni matumaini yangu huyo nyoka alitokewa ndani kwa kweli

Akitoa feedback nitag kipenzitujue kuliendaje
 
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.
Washa moto kwenye Nyumba atatoka nwenyewe
 
Nyoka gani sasa huyu aliye kwenye mwili wa mwanaume au na ameingia ndani kwako kwa mbele au kwa nyuma?
Uzi mwingine bhana bora tukushauri ujinga tuu km wewe mwenyewe ulivyoamua kuleta huu uzi wa kijinga
 
Mkamate kamtupe mbali acheni kuua ua viumbe ovyo !wakiisha hao kutakuwa na mfumuko wa panya mpaka tuchanganyikiwe .
Paka sikuhz wanakula chips yai nyoka wanajitahida kugonga msosi wa panya nahisi nyoka wote wana asili ya umakonde
Well said
 
Mtoa mada mbona huleti mrejesho aisee we are worried
 
Mjomba mwaga nzutu tu mkuu huwa hapendi harufu kali huyo kiumbe
 
Nenda mtafute ndani umuangalie maumbile yake kama analichwa cha pembe tatu ua kwa sababu atakuwa na sumu na kama kichwa chake si pembe tatu mkamate kichwani kisha kamtupe mbali usiue maana hao mara nyingi ni malaika wa bwana
green mamba na boomerang hawana vichwa hivyo na wana sumu pia
 
Wakuu leo yamenikuta!

Nimetoka nje mara moja kwenda kufunga vioo vya gari vizuri ile nataka nirudi mlangoni kwangu niingie ndani naona joka kubwa refuu linapotelea ndani kwangu.

Na kupo giza ndani na nyumba ina rooms 3 store na jiko.Ameingilia mlango wa jikoni.

Nifanyeje maana wife yupo chumbani na mtoto na wameshalala.

Naombeni ushauri.

Unapata na muda wa kuandika wakati nyoka yupo ndani
C kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom