MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

MSAADA: Nyoka ameingia ndani kwangu

Aisee usilale Bilaa kumuua huyo Nyokaa... Boraa muondoke kabisaa humo ndani au mjifungiee Chumbani mpaka kesho asubuhii...
 
tupia picha ya hiyo gari na hizo room nikupe njia simpo ya kumnasa
 
Mkamate kamtupe mbali acheni kuua ua viumbe ovyo !wakiisha hao kutakuwa na mfumuko wa panya mpaka tuchanganyikiwe .
Paka sikuhz wanakula chips yai nyoka wanajitahida kugonga msosi wa panya nahisi nyoka wote wana asili ya umakonde
Hahahahah, umenchekesha
 
Watz kwa vituko hamjambo. Yaani nyoka kuingia ndani unakimbia kupost jf. Umeshindwa hata kuomba msaada kwa jirani?
 
Mkamate kamtupe mbali acheni kuua ua viumbe ovyo !wakiisha hao kutakuwa na mfumuko wa panya mpaka tuchanganyikiwe .
Paka sikuhz wanakula chips yai nyoka wanajitahida kugonga msosi wa panya nahisi nyoka wote wana asili ya umakonde
Hio nimeshuhudia mjini paka na panya wako bize na makombo jalalani kila mmoja hana time na mwenzake,paka wamebaki kijijini sio mapaka sharobaro wa mjini
 
Yaani it doesnt make sense anakaa sehem anatype nyoka yumo ndani huyu ni mwanaume na kichwa cha familia aisee alichopaswa kufanya angetafta namna ya kumkabili nyoka akishamuua aaandike tu kama maelezo na jinsi alivyoweza kua shujaa kunusur familia
I beg to differ.

He is stuck ndo maana ameomba msaada.

Asingekuwa mwanamme ni yowe moja kwa moja 😀😀

Si unaona anamjali wife na mtoto wasiamke wakashtuka ama akatumia mbinu itakayowadhuru usingizini?
Give the poor man some little credit.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom