Mzux D
Member
- Dec 8, 2010
- 15
- 0
Wanajf kuna mtaalam anaweza kunisaidia jinsi gani naweza kubadili upya programu ya application ambayo inansumbua kwa muda mrefu kila nikidownload inakataa kufunguka kwa mfano operamini na games. Nilijaribu kutengeneza kwa fundi ikapona kabisa baada ya kutumia kwa muda wa wiki 3 ikajirudia hali ileile? Tena nijaribu kuweka factory settings hali ikawa ileile. Mi n kiziwi nisaidieni?