Msaada kuhusu Nokia XL 4G

Bennie 369

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
713
529
Wakuu mimi hii simu Nokia XL 4G hata siielewi kabisa?
Maana file zote niki-download zinakaa kwenye phone memory na nimejaribu sana kuzihamishia kwenye SD CARD lakini zimekataa na hata ninapo-move file zinatoka kwenye internal memory na kwenda kwenye phone memory badala ya sd card, na pia tatizo jingine haina Google play na nikidownload inakataa kuinstall.
Kwa mtaalam anaweza kunisaidia
 
1-baadhi ya cm program hukaa ktk ram ya cm permanently na hazihamishiki na kama zinaamishika basi co program zote ndo hukaa ktk sd card
 
Umetoka Symbian nini? Majority ya simu za android hazikubali kueka apps kwenye SD card. Mpaka android 6 Hilo tatizo ndio litaisha.

Na hio simu Ni ya aosp hivyo haina play store hadi uflash apps za google.

Simu yako Ni ile yenye ram 1gb au 756mb? Maana app za google zinakula ram ya kutosha tu
 
Umetoka Symbian nini? Majority ya simu za android hazikubali kueka apps kwenye SD card. Mpaka android 6 Hilo tatizo ndio litaisha.

Na hio simu Ni ya aosp hivyo haina play store hadi uflash apps za google.

Simu yako Ni ile yenye ram 1gb au 756mb? Maana app za google zinakula ram ya kutosha tu

ram yake ni 2gb mkuu, na pia unafanyaje ili kupata hiyo google play store?
 
Back
Top Bottom