Bennie 369
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 713
- 529
Wakuu mimi hii simu Nokia XL 4G hata siielewi kabisa?
Maana file zote niki-download zinakaa kwenye phone memory na nimejaribu sana kuzihamishia kwenye SD CARD lakini zimekataa na hata ninapo-move file zinatoka kwenye internal memory na kwenda kwenye phone memory badala ya sd card, na pia tatizo jingine haina Google play na nikidownload inakataa kuinstall.
Kwa mtaalam anaweza kunisaidia
Maana file zote niki-download zinakaa kwenye phone memory na nimejaribu sana kuzihamishia kwenye SD CARD lakini zimekataa na hata ninapo-move file zinatoka kwenye internal memory na kwenda kwenye phone memory badala ya sd card, na pia tatizo jingine haina Google play na nikidownload inakataa kuinstall.
Kwa mtaalam anaweza kunisaidia