Msaada: Njia za kufanya mtu kurefuka

Msaada: Njia za kufanya mtu kurefuka

Chukua juice ya parachichi uichemshe kwenye mkaa wa wastani kwa dakika 7 au 8 kisha chukua asali mbichi uchanganye na majani ya mkaratusi yaliyokaushwa na kusagwa kama ungaunga. Kisha uchukue vyote hivyo na ukavitupe jalalani kisha uende ukafanye kazi upate hela.
Hakuna dawa ya kuwa mrefu.
 
WaTanzania muda mwingine sijui tunafikiri kwa kutumia makalio???
 
Acha kukufuru Mungu! Mluguru mwenzio nipo hapa, mfupi mpk nikikaa juu ya kistuli miguu haigusi sakafu!
 
Pendelea sana kuwa na marafiki warefu, kunywa maji mengi pia beba vitu vizito utarefuka tu ndugu
 
Kwa wewe ushafel..ze only solution ni kusaka demu mrefu akutengenezee watoto warefu..ili familiya yako isiwe ya maanduje..urefu raha bhana unakujengea komfidensi..
 
Urefu wa mwili sio issue ndo maana hata masai wanauza dawa ya kurefusha lkn ni uume tu. Unafikiri ni wajinga?
 
Hivi inawezekana kweli mtu mfupi akaongeza urefu wake? hebu nisaidieni nina umri wa miaka 20.
 
Chukua kamba na stuli nenda kwenye mti ifunge na shingoni ukiwa juu stuli kisha stuli ipige teke.. UTAKUWA kama Hashimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wadau,mimi ni kijana wa miaka 22,nilikuwa naomba msaada kama kuna dawa ya kurefuka urefu wa mwili,ninawezaje kurefuka,msaada wenu tafadhali?
Una hela mkuu mm dawa ninayo
 
Kama upo serious tuonane inbobo nikuagizie ila uje na mzigo unaoeleweka
Screenshot_20220915-172934_AliExpress.jpg
Screenshot_20220915-172914_AliExpress.jpg
142919169-478283764.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom