Msaada: Njia za kufanya mtu kurefuka

Msaada: Njia za kufanya mtu kurefuka

Kweli tumetofautiana, wakat nipo primary skool...nlikuwa nauchukia urefu sabab walikuwa wananitania sana kwa urefu wangu, nlitaman kuwa mfupi na ckupenda vle nlivo. Lakin baada ya kujitambua na kujua kwamba urefu ni swagg tosha nkawa na aman sana nkitembea kitaan. Jikubali tu mkuu mana hakuna namna ya kuongezeka apo ulivo. BTW ufupi sio ulemavu.
 
Acha kukosoa uumbaji wa Mungu. Shukuru kwa alvyokuumba ndugu.
 
Kweli tumetofautiana, wakat nipo primary skool...nlikuwa nauchukia urefu sabab walikuwa wananitania sana kwa urefu wangu, nlitaman kuwa mfupi na ckupenda vle nlivo. Lakin baada ya kujitambua na kujua kwamba urefu ni swagg tosha nkawa na aman sana nkitembea kitaan. Jikubali tu mkuu mana hakuna namna ya kuongezeka apo ulivo. BTW ufupi sio ulemavu.
Ufupi umezidi aisee
 
Ingia u tube kuna mazoez na hakika yanafanya kazi kabisa tena umri wako unaruhusu mno, nimeshuhudi hili *kuna.mazoez spesho kabisa tena mepes mno na si kubeba mavyuma ndo unajidumaza
 
Mbona huyu halalamiki...

Chandra-Bahadur-Dangi.jpg
 
Ingia u tube kuna mazoez na hakika yanafanya kazi kabisa tena umri wako unaruhusu mno, nimeshuhudi hili *kuna.mazoez spesho kabisa tena mepes mno na si kubeba mavyuma ndo unajidumaza
Asante sana mkuu,nalifanyia kazi sasa hivi
 
nakumbuka Ray aliwaambia watu wanywe maji mengi watakuwa weupe dah ndio maadvice ya humu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom