Ak4700
Member
- May 29, 2018
- 18
- 97
Wakubwa habari,
Ni kijana mwenzenu naomba msaada wa ufahamu. Mimi ni Mtumishi wa Umma niliajiliwa na elimu ya kidato cha nne.
Ila ninandoto ya kuitwa Injinia siku moja na ninaamini kwenye ufundi kuwa ndo nitakapotajirika.
Swali; Je naweza kusoma ufundi veta na nikakidhi vigezo vya kusoma degree?
Ni kijana mwenzenu naomba msaada wa ufahamu. Mimi ni Mtumishi wa Umma niliajiliwa na elimu ya kidato cha nne.
Ila ninandoto ya kuitwa Injinia siku moja na ninaamini kwenye ufundi kuwa ndo nitakapotajirika.
Swali; Je naweza kusoma ufundi veta na nikakidhi vigezo vya kusoma degree?