amita bacha Senior Member Joined Mar 10, 2017 Posts 180 Reaction score 411 Mar 17, 2017 Thread starter #61 py thon said: Nenda shambani Click to expand... Mashamba nitayapata wapi mjini joh
K king L JF-Expert Member Joined Oct 5, 2015 Posts 615 Reaction score 285 Mar 17, 2017 #62 amita bacha said: Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele. Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana. Ndulele ndulele Click to expand... Mi ninazo ni pm uje uchume
amita bacha said: Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele. Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana. Ndulele ndulele Click to expand... Mi ninazo ni pm uje uchume
amita bacha Senior Member Joined Mar 10, 2017 Posts 180 Reaction score 411 Mar 17, 2017 Thread starter #63 king L said: Mi ninazo ni pm uje uchume Click to expand... Asante sana kiongozi
NZURI PESA JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 5,958 Reaction score 2,967 Jun 6, 2018 #64 Tarakilishi said: Sio kweli mkuu, Nyanya chungu inaliwa lakini ndula hailiwi Click to expand... Ndula inaliwa kwetu hupikwa zile changa kama zinavyo pikwa nyanya chungu
Tarakilishi said: Sio kweli mkuu, Nyanya chungu inaliwa lakini ndula hailiwi Click to expand... Ndula inaliwa kwetu hupikwa zile changa kama zinavyo pikwa nyanya chungu
mchawi wa kusini JF-Expert Member Joined Apr 18, 2018 Posts 833 Reaction score 933 Jun 6, 2018 #65 Pugu zipo nyingi tu si zile zipo kama nyanya chungu pori?????
Job K JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 9,314 Reaction score 7,167 Jun 7, 2018 #66 amita bacha said: Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele. Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana. Ndulele ndulele Click to expand... Nenda Pugu wanakoshushia ng'ombe kutoka mikoani. Huko huwezi ukakosa maana ndulele hupenda maeneo ambayo yako na msongamano wa mifugo!!
amita bacha said: Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Jamani naombeni mwenye kujua kwa hapa Dar es salaam nitapata wapi Ndulele. Natumai nitapata jawabu sababu hakuna linaloshindikana. Ndulele ndulele Click to expand... Nenda Pugu wanakoshushia ng'ombe kutoka mikoani. Huko huwezi ukakosa maana ndulele hupenda maeneo ambayo yako na msongamano wa mifugo!!