vfsuccessfully
Senior Member
- Jul 16, 2017
- 180
- 64
- Thread starter
- #61
Kumbe unaongelea hao sawa, Mimi toka 1998 nimeingia SA nimetumia Asylum seeker,Passport ya Tanzania na baadae Id ya SA na passport yao nimeifuta baada ya kutotaka kufanya kazi SA sasa natumia mkwaju wa Tanzania tumefanya utundu wote kuhusu makaratasi kwa sababu kampuni zetu zilikua zinafanya kazi nje ya SA...
Nimeshaeleza hapo juu jinsi tunavyoishi SA au China au Hong Kong ni kugonga kwa kutoka Nchi Jirani ili uongeze muda zaidi ya hapo hakuna na muda mwingine ukikutana na mkorofi hasa Beit bridge anakupa siku chache inatakiwa aende Botswana nauli ni kidogo tuu na ndio wanavyoishi hivyo sio Home Affairs ukagonge walishafuta huo mchezo 2002 nadhani...
Ndugu nimeona mchango wako ila sijelewa kuhusu huo mkwaju na maana teyari niko illegal na pia je hiyo visa ya miaka mitatu na weza ipata kwa ghalama gani?