DirtyJob sio? Sawa ingia humo tutapokea mwili wako hapa soon.Ilo ndo tatizo uwezokano wakupata kazi ni mgumu nikiacha kutumia pass other wise ni kufanya dirt job
But kama una pesa hakuna kinachoshindikana, upo mji gani?
Mkuu fanya haraka ushughulikie mambo yako kabla hujatiwa mikononi na polisi omba usiingie jela za south.
28 number sio watu wazuri
Nenda ubalozini watakusaidia
Pole, nadhani huyo balozi anatakiwa afutwe kazi. Wanapaswa kukusaidia maana hapo ndiyo Tanzania ndani ya SA. Nakushauri rudi ubalozini omba kuonana na balozi akusaidie
Nakujua huko very well.kweli mkuu pia kuna 26 27 makundi mabaya zaidi ya panya road mkuu unonekana uko SA umejuaje 28
Wataangalia the best option kwako ni ipiJe watanisaidia kuniludisha nyumbani au watanisaidia kupata Visa!!
Ma.mae. upo mji migumu sana ku fake aiseeMitchells plain Capetown
Wataangalia the best option kwako ni ipi
Wewe Mudawote upo sawa kweli?
Balozi hawezi kukusaidia kuvunja sheria za nchi husika,ukishikwa unarudishwa huku mavumbini kwenu!
Na hiyo spirit ya kuvunja sheria unaipata wapi dada Mudawote mwana CCM kijana wa Magu?
How on earth can you be accessory to law breaking act like this?
Pita njia za panya chief, maana kuliko kuingia mikononi mwa maaskari ya huko SA ni bora udakwe Kwenye kambi za jeshi unaiba kifaru....
Kuna husiano mzuri wa kidplomasia napia utambue kuwa nilipata matatizo yapelekea kuvunja sheria kwa nimevunja kwa kuto kukusudia
Mkuu,nachosemea hapa ni balozi akusaidie wewe kufuata sheria na sio kuvunja sheria za nchi za watu.
Hiyo ndio hoja yangu!