vfsuccessfully
Senior Member
- Jul 16, 2017
- 180
- 64
- Thread starter
- #41
Asanteni kwa ushauri
ngoja tuone kama atarudiKwa hiyo ulizimaliza siku zote 90 kisha ukaenda ubalozi kuomba visa?
Dah!0Mitchells plain Capetown
Pole sana mdogo wangu nisaidie upo wapi hapo sauzi ? Na pia umeishi kwa muda ganiHabari Zenu Wana JF
Mimi niko SA kwa sasa ila nilipata matatizo ya kifedha kwa Visa ikawa imekwisha muda wake sasa ninahuitaji wa visa nilikwenda Home affairs ya hapa SA ili niwaelezee kuwa niliibiwa pesa ndo maana nikashindwa ku update Visa wamenitolea nje kama mnavyo jua SA kuna Vibaka wengi nilikabwa nanikashindwa kwenda ku report kwa sababu waliniambia usipoteze muda kwenda kufungua case kuna matukio mengi yana fanyika na askari hawa fatirii ikiwemo watu kuu wawa kwa likanivunja moyo kwenda polisi sasa visa niliyoingilia hii inchi imekwisha muda wake toka july kwa hiyi na shindwa kuomba work visa kwa hiyo nipo kwenye hali mbaya sielewi nifanyaje na kuludi nyumbani siwezi maana niko illegal kwa naomba mwenye uzoefu na maswala ya nje anishauri.Asanteni
Wewe ni raia wa wapi tuanzie hapo!maana kama wewe ni mtanzania huitaji visa kuingia South Africa,tena ukiwapa rand 100 wale wazee wa ngwasuma wanakugongea miezi 3 for free!then ikiisha unatuma passport inagongwa tena miezi mitatu!kwa style hiyo unaweza kukaa hata miaka 20,kama huwezi kujiongeza kaishi nyegeziHabari Zenu Wana JF
Mimi niko SA kwa sasa ila nilipata matatizo ya kifedha kwa Visa ikawa imekwisha muda wake sasa ninahuitaji wa visa nilikwenda Home affairs ya hapa SA ili niwaelezee kuwa niliibiwa pesa ndo maana nikashindwa ku update Visa wamenitolea nje kama mnavyo jua SA kuna Vibaka wengi nilikabwa nanikashindwa kwenda ku report kwa sababu waliniambia usipoteze muda kwenda kufungua case kuna matukio mengi yana fanyika na askari hawa fatirii ikiwemo watu kuu wawa kwa likanivunja moyo kwenda polisi sasa visa niliyoingilia hii inchi imekwisha muda wake toka july kwa hiyi na shindwa kuomba work visa kwa hiyo nipo kwenye hali mbaya sielewi nifanyaje na kuludi nyumbani siwezi maana niko illegal kwa naomba mwenye uzoefu na maswala ya nje anishauri.Asanteni
Hawakufanyi chochote mkuu zaidi yakukuweka sehemu salama hadi siku utapokubali kurudishwa tena kwa hiari yako mwenyeweDuh!, wakikumata migration ya SA .. utaimba hallelujah
Aisee!!Duh!, wakikumata migration ya SA .. utaimba hallelujah
Fanya hizo hizo kazi chafu ili uweze kupata nauli.Ilo ndo tatizo uwezokano wakupata kazi ni mgumu nikiacha kutumia pass other wise ni kufanya dirt job
Mkuu pole, ila kama ni kweli hata kama hauna cent kuhusu visa sidhan kama unahitaji msaada manake visa hapo SA for Tanzania citizen is free hata kama uta extend 9 times......labda utuambie unahitaji nailiHabari Zenu Wana JF
Mimi niko SA kwa sasa ila nilipata matatizo ya kifedha kwa Visa ikawa imekwisha muda wake sasa ninahuitaji wa visa nilikwenda Home affairs ya hapa SA ili niwaelezee kuwa niliibiwa pesa ndo maana nikashindwa ku update Visa wamenitolea nje kama mnavyo jua SA kuna Vibaka wengi nilikabwa nanikashindwa kwenda ku report kwa sababu waliniambia usipoteze muda kwenda kufungua case kuna matukio mengi yana fanyika na askari hawa fatirii ikiwemo watu kuu wawa kwa likanivunja moyo kwenda polisi sasa visa niliyoingilia hii inchi imekwisha muda wake toka july kwa hiyi na shindwa kuomba work visa kwa hiyo nipo kwenye hali mbaya sielewi nifanyaje na kuludi nyumbani siwezi maana niko illegal kwa naomba mwenye uzoefu na maswala ya nje anishauri.Asanteni
Mkuu Visa ya ku extend 9 times unaenda kuipata wapi tujifunze kwako...Mkuu pole, ila kama ni kweli hata kama hauna cent kuhusu visa sidhan kama unahitaji msaada manake visa hapo SA for Tanzania citizen is free hata kama uta extend 9 times......labda utuambie unahitaji naili
Hapo SA kuna watu wanaishi more than 5 yrs as speak na bado hawajapata uraia na ni Watanzania sasa unadhan wanaishi namna gani?Mkuu Visa ya ku extend 9 times unaenda kuipata wapi tujifunze kwako...
Pita njia za panya chief, maana kuliko kuingia mikononi mwa maaskari ya huko SA ni bora udakwe Kwenye kambi za jeshi unaiba kifaru....[/QUOTE
😂😂😂
Kumbe unaongelea hao sawa, Mimi toka 1998 nimeingia SA nimetumia Asylum seeker,Passport ya Tanzania na baadae Id ya SA na passport yao nimeifuta baada ya kutotaka kufanya kazi SA sasa natumia mkwaju wa Tanzania tumefanya utundu wote kuhusu makaratasi kwa sababu kampuni zetu zilikua zinafanya kazi nje ya SA...Hapo SA kuna watu wanaishi more than 5 yrs as speak na bado hawajapata uraia na ni Watanzania sasa unadhan wanaishi namna gani?