Msaada: Nipo chuo hapa Dodoma, nahitaji wazo la biashara nitakayoweza kuifanya wakati nasoma

zaitmemee

Senior Member
Aug 14, 2015
186
38
Habari wanajamvi,

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa dodoma,nahitaji kujua nitaweza kufanya biashara gani wakati nipo chuo. hata kama itahitaji usimamizi wa muda kidogo nikiwa off campus.
Thanks in advance
 
Wakati nasoma UD! Mwaka 2003, nilinunua shamba la ekari 1 kimara mwisho kwa laki7! Off course nililipa ndan ya mwaka -miaka miwili, kwa ss hilo shamba linathaman sichini ya 60Mil, I am not sure kama n good investment kwako ila n stress fress investment, So that's an alternative
 
china napenda kwenda, ila kwa sasa mtaji wangu bado mdogo, nikiukuza nitapanga safari ya china
 
Wakati nasoma UD! Mwaka 2003, nilinunua shamba la ekari 1 kimara mwisho kwa laki7! Off course nililipa ndan ya mwaka -miaka miwili, kwa ss hilo shamba linathaman sichini ya 60Mil, I am not sure kama n good investment kwako ila n stress fress investment, So that's an alternative

STRESS FREE INVESTMENT, lesson learnt mkuu
 
Jipange kimtaji kidogo nikutumie dagaa waliokaangwa wa Mwanza uwauze wanalipa sana +255759746713
 
Tucheki facebook kwa Page yetu ya Free slave curio shop and boutique ukipenda bidhaa zetu unaweza kufanya na ukawa unachukua kwa bei ya jumla.... NOTE biashara yoyote unayotaka kuifanya lazima uifanye kutoka moyoni mwako na uipede hao ndipo utakao ona matunda ya biashara yako
 
Kwa chuoni fanya hivi tafuta laptop na printer uwe una print karatasi, uza rim paper,pen etc kama hela zipo nyingi ongeza na kamera uwe unapiga watu passport size za dakika 3, au unapiga picha za kawaida na kuzi edit kwa adobe na vitu kama hivyo
 
Tucheki facebook kwa Page yetu ya Free slave curio shop and boutique ukipenda bidhaa zetu unaweza kufanya na ukawa unachukua kwa bei ya jumla.... NOTE biashara yoyote unayotaka kuifanya lazima uifanye kutoka moyoni mwako na uipede hao ndipo utakao ona matunda ya biashara yako

okay mkuu ngoja niwachek.
 
nawashukuru sana wadau. am taking your comments very serious, naamin mtanisaidia sana, kwan financial freedom ni muhimu sana katika maisha
 
nawashukuru sana wadau. am taking your comments very serious, naamin mtanisaidia sana, kwan financial freedom ni muhimu sana katika maisha



Tafuta printer au photocopy machine weka chumbani kwako.

Ongea na class rep awe analeta madesa hapo kwako kwa makubaliano maalumu.

Ongeza na desktop yakusaidia kutype assignment za wanafunzi wazembe.
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kimoja hapa dodoma,nahitaji kujua nitaweza kufanya biashara gani wakati nipo chuo. hata kama itahitaji usimamizi wa muda kidogo nikiwa off campus.
Thanks in advance

nunua printa ufanye bishara
 
kama uko karibu na hostels za chuo unachosoma nunua dry cleaner ajiri mtu.. wanachuo wengi wavivu wa kufua nguo.. unahitaji chumba cha kuhifadhia mashine yako na sehem pana kidogo ya kuanikia nguo..


unaweza kutoa na huduma ya kunyoosha nguo pia so.. utahitaji pasi.,


roughly unahitaji kama laki 8 kuanzia eneo, mashine. Mshahara wa muhudumu wako utajitengeneza wenyewe as yu run the bussness...



kuwa makini na ubora wa mashine utakazonunua kwa sababu nyingi hufa mapema kutokana na mzigo mkubwa wa nguo na pia muhudumu wako unatakiwa umpe roughly knowledge on how to use km hana uzoefu...



kwa nguo nyepesi unaweza ukafanya kwa makadirio ya chini kabisa 300 sh.na nguo nzito kama jeans 400 sh. mablanketi 800.


kwa siku ukifua nguo nyepesi 30, nguo nzito 15, na mablanketi 3..

30*300=9000
15*400=6000
3*800=2400
TOTAL= 17400

Kwa mwezi mzima =522000

Toa gharama za umeme, maji na fremu na invisible costs hukosi laki 400000 kwa mwezi... ndani ya takribani miezi 2 umerudisha all of your fixed costs...


Asante... kwa pamoja tuijenge Tanzania bila kujali hatua uliopo...
 
Back
Top Bottom