Msaada: Nini Maana ya Cookies?

Msaada: Nini Maana ya Cookies?

SubTopic

Senior Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
124
Reaction score
230
Katika kuperuzi mitandao mbalimbali nimekutana na hii kitu "website hii inatumia cookies " na wanakupa option ya kukubali na kuendelea kuperuzi mtandao husika. Nachopenda kufahamu ni;
1. Cookies ni nini?
2. kwanini wanatumia cookies?

Naomba wenye uelewa na hili wanieleweshe.Asante
 
... kaka unge-Google si ungepata zaidi ya milion pages zinaelezea hiyo kitu?
 
Katika kuperuzi mitandao mbalimbali nimekutana na hii kitu "website hii inatumia cookies " na wanakupa option ya kukubali na kuendelea kuperuzi mtandao husika. Nachopenda kufahamu ni;
1. Cookies ni nini?
2. kwanini wanatumia cookies?

Naomba wenye uelewa na hili wanieleweshe.Asante
Vidakuzi
 
Katika kuperuzi mitandao mbalimbali nimekutana na hii kitu "website hii inatumia cookies " na wanakupa option ya kukubali na kuendelea kuperuzi mtandao husika. Nachopenda kufahamu ni;
1. Cookies ni nini?
2. kwanini wanatumia cookies?

Naomba wenye uelewa na hili wanieleweshe.Asante
Vidakuzi
 
... kaka unge-Google si ungepata zaidi ya milion pages zinaelezea hiyo kitu?

What is a cookie?
Cookies are small files that some platforms, such as webpages, may install on your computer, Smartphone, tablet or connected TV, when you access them. They may be used for many different functions: to store your navigation preferences, to gather statistic information, to allow certain technical functionalities, to store and recover information on navigation patterns or user/device preferences, with the possibility of, on occasion
 
Katika kuperuzi mitandao mbalimbali nimekutana na hii kitu "website hii inatumia cookies " na wanakupa option ya kukubali na kuendelea kuperuzi mtandao husika. Nachopenda kufahamu ni;
1. Cookies ni nini?
2. kwanini wanatumia cookies?

Naomba wenye uelewa na hili wanieleweshe.Asante
Ni vidakuzi
Vidakuzi ni faili ndogo ambazo baadhi ya mifumo, kama vile kurasa za tovuti, zinaweza kusakinisha kwenye kompyuta yako, Simu mahiri, kompyuta kibao au TV iliyounganishwa, unapozifikia. Zinaweza kutumika kwa vipengele vingi tofauti: kuhifadhi mapendeleo yako ya urambazaji, kukusanya taarifa za takwimu, kuruhusu utendaji fulani wa kiufundi, kuhifadhi na kurejesha maelezo kuhusu mifumo ya urambazaji au mapendeleo ya mtumiaji/kifaa, pamoja na uwezekano wa, wakati fulani.
 
asante mkuu. je kuna umuhimu wa kumpa mtu option ya kuchagua kutumia au kutotumia hivyo vidakuzi?
 
Cookies ni taarifa ambazo zinahifadhiwa kwenye browser yako iwe simu au computer, taarifa hizi zinasaidia website kukufahamu wewe, cookies ndio ndani yake hubeba session, session ni taarifa zinazosaidia web app ikutambue kila ukiingia mtandaoni kwa kua http protocol ni stateless, hivyo husaidia usiweke password kila mara, mfano tangu u log in jamiiforum hawajakuuliza tena unless uki log out

Ila cookie nyingi ni za kuisaidia web app kujua unachopendelea kufanya hii inasaidia hata jinsi watakavyokutumia matangazo
Unaweza ukawa umesachi komputa ya apple af baadae ukiingia YouTube unakuta wanakuonesha ads za apple computer
Kila page unayoclick, nyuma yake browser inatuma na cookies ili web app ijue anae request hizo taarifa ni nani
Ukitaka kuona cookies google chrome mobile, nenda settings>site setting>Cookie

Ask me more abou computer
 
Cookies ni text files zenye information kuhusiana na website ulizotembelea.

Browser ina sehemu maalumu ya kuhifadhia hizi memory.

Sababu kuu ya cookies kuwepo ni nyingi.
Inasaidia ku website kuji customize kwa ajili yako au recommends zako n.k

Mfano ukiingia Amazon uka search bidhaa flani server ya Amazon itatuma hizo text files za kuitwa cookies kwenda kwenye browser yako, next time unaingia Amazon tena utashangaa bidhaa wanaku recommend ni zile zinafanana na last time ukiingia uka search..

Google ads pia wanatumia cookies that's why utakuta yanakuja matangazo tokana na vitu unavyopenda sana ku search online..

Cookies ina kazi nyingi hio ni baadhi tu.
 
Je kuna faida yoyote ya kutumia cookies. Na je zipo hasara?
 
Cookies ni text files zenye information kuhusiana na website ulizotembelea.

Browser ina sehemu maalumu ya kuhifadhia hizi memory.

Sababu kuu ya cookies kuwepo ni nyingi.
Inasaidia ku website kuji customize kwa ajili yako au recommends zako n.k

Mfano ukiingia Amazon uka search bidhaa flani server ya Amazon itatuma hizo text files za kuitwa cookies kwenda kwenye browser yako, next time unaingia Amazon tena utashangaa bidhaa wanaku recommend ni zile zinafanana na last time ukiingia uka search..

Google ads pia wanatumia cookies that's why utakuta yanakuja matangazo tokana na vitu unavyopenda sana ku search online..

Cookies ina kazi nyingi hio ni baadhi tu.
asante ndugu.nimeongeza kitu leo
 
ukivisit jamiiforums.com, uka log in, username/password zinatunzwa kwenye storage ya browser iitwayo 'cookie'

ndiyo maana ukivisit tena jamiiforums.com, unapita bila ku sign in, kwa kua username/password inasomwa kutoka kwenye cookie

uki clear cookie, details zinafutwa, uki log in jamiiforums.com inabidi uingize tena username/password

iyo ni kwa ufupi
 
Cookies ni text files zenye information kuhusiana na website ulizotembelea.

Browser ina sehemu maalumu ya kuhifadhia hizi memory.

Sababu kuu ya cookies kuwepo ni nyingi.
Inasaidia ku website kuji customize kwa ajili yako au recommends zako n.k

Mfano ukiingia Amazon uka search bidhaa flani server ya Amazon itatuma hizo text files za kuitwa cookies kwenda kwenye browser yako, next time unaingia Amazon tena utashangaa bidhaa wanaku recommend ni zile zinafanana na last time ukiingia uka search..

Google ads pia wanatumia cookies that's why utakuta yanakuja matangazo tokana na vitu unavyopenda sana ku search online..

Cookies ina kazi nyingi hio ni baadhi tu.
Mleta mada chukua muongozo...
 
Ila wabongo wengi tuna huu ugonjwa wa kupiga NEXT na Ku ACCEPT kila tunapoweka programm kwenye pc au simu. Nadhan asilimia kubwa hatujui undani wa vitu tunavyovitumia. Mfano mi sijawahi kusoma yale maelezo yanayohusu software ninapo install program, huwa napiga tu NEXT!
 
Back
Top Bottom