Msaada: Nini Maana ya Cookies?

Msaada: Nini Maana ya Cookies?

LOL .. laugh out loud..

ATM..at the moment..


FYI ..for your information

Idk ..I don't know..

Maneno yako mengi mno na yanaibuka mengine daily
Aaah apo umeniongezea kitu maana hz lugha za watu nazo noma kuna mnaija mmoja nachart nae anapenda kutumia short short kama hv bas napata nae tabu hajui tu
 
ukivisit jamiiforums.com, uka log in, username/password zinatunzwa kwenye storage ya browser iitwayo 'cookie'

ndiyo maana ukivisit tena jamiiforums.com, unapita bila ku sign in, kwa kua username/password inasomwa kutoka kwenye cookie

uki clear cookie, details zinafutwa, uki log in jamiiforums.com inabidi uingize tena username/password

iyo ni kwa ufupi
Nashkuru ndugu, ila nina kaswali kdg. vp wale wanaohack account za watu je na wao wanatumia cookies?
 
Nashkuru ndugu, ila nina kaswali kdg. vp wale wanaohack account za watu je na wao wanatumia cookies?
iyo unayoita hacking, mara nyingi hua ni 'phishing page attack'
mtu anatengeneza page simple na domain inayofanana na jamiiforum.com, mathalan anaiita jamiiforrums.com

anakutumia link, ukiingiza details zako anazinasa, cookie wala haihusiki
 
Cookies ni taarifa ambazo zinahifadhiwa kwenye browser yako iwe simu au computer, taarifa hizi zinasaidia website kukufahamu wewe, cookies ndio ndani yake hubeba session, session ni taarifa zinazosaidia web app ikutambue kila ukiingia mtandaoni kwa kua http protocol ni stateless, hivyo husaidia usiweke password kila mara, mfano tangu u log in jamiiforum hawajakuuliza tena unless uki log out

Ila cookie nyingi ni za kuisaidia web app kujua unachopendelea kufanya hii inasaidia hata jinsi watakavyokutumia matangazo
Unaweza ukawa umesachi komputa ya apple af baadae ukiingia YouTube unakuta wanakuonesha ads za apple computer
Kila page unayoclick, nyuma yake browser inatuma na cookies ili web app ijue anae request hizo taarifa ni nani
Ukitaka kuona cookies google chrome mobile, nenda settings>site setting>Cookie

Ask me more abou computer
pia cookies inamsaidia mliki wa website kujua ni watu wa ngap wametembelea page yake or website yake
 
iyo unayoita hacking, mara nyingi hua ni 'phishing page attack'
mtu anatengeneza page simple na domain inayofanana na jamiiforum.com, mathalan anaiita jamiiforrums.com

anakutumia link, ukiingiza details zako anazinasa, cookie wala haihusiki
iyo unayoita hacking, mara nyingi hua ni 'phishing page attack'
mtu anatengeneza page simple na domain inayofanana na jamiiforum.com, mathalan anaiita jamiiforrums.com

anakutumia link, ukiingiza details zako anazinasa, cookie wala haihusiki
Duh kumbe mambo ndivyo yalivyo. nimeelewa now, thanks all!
 
Cookies ni text files zenye information kuhusiana na website ulizotembelea.

Browser ina sehemu maalumu ya kuhifadhia hizi memory.

Sababu kuu ya cookies kuwepo ni nyingi.
Inasaidia ku website kuji customize kwa ajili yako au recommends zako n.k

Mfano ukiingia Amazon uka search bidhaa flani server ya Amazon itatuma hizo text files za kuitwa cookies kwenda kwenye browser yako, next time unaingia Amazon tena utashangaa bidhaa wanaku recommend ni zile zinafanana na last time ukiingia uka search..

Google ads pia wanatumia cookies that's why utakuta yanakuja matangazo tokana na vitu unavyopenda sana ku search online..

Cookies ina kazi nyingi hio ni baadhi tu.
At least umeushawishi ubongo wangu mgumu kukuelewa
 
ukivisit jamiiforums.com, uka log in, username/password zinatunzwa kwenye storage ya browser iitwayo 'cookie'

ndiyo maana ukivisit tena jamiiforums.com, unapita bila ku sign in, kwa kua username/password inasomwa kutoka kwenye cookie

uki clear cookie, details zinafutwa, uki log in jamiiforums.com inabidi uingize tena username/password

iyo ni kwa ufupi
Unafaa kuwa mwalimu wa wanafunzi vichwa ngumu kama mimi
 
Cookies ni sawa na caches?
cookie imeelezewa juu hapo

cookie na cache zote ni storage za browser

cache inahifadhi 'static contents' za website unapoload iyo web kwa mara ya kwanza

mfano wa static contents za JF ni hiyo logo kuu hapo, izo rangi rangi za blue , zile logo 6 kule chini, na maandishi ambayo hayabadiliki mfano 'Contact Us, Forum Rules', nk

so unapoload kwa mara ya kwanza, static contents inahifadhiwa kwenye 'browser cache'

ukiload same web page kwa mara ya pili, loading speed utaona imekua faster kwa kua, static contents zinazomwa kutoka kwenye cache ya browser moja kwa moja , sio kwenye server tena

uki clear cache ( hapa unafuta zile contents) uka load page, loading speed inakua slow
 
Ni ujinga wako.
Ila wabongo wengi tuna huu ugonjwa wa kupiga NEXT na Ku ACCEPT kila tunapoweka programm kwenye pc au simu. Nadhan asilimia kubwa hatujui undani wa vitu tunavyovitumia. Mfano mi sijawahi kusoma yale maelezo yanayohusu software ninapo install program, huwa napiga tu NEXT!
 
Maana nyingine za cookie
-chakula
-ile ya katikati kwa jinsia ya ke
 
Back
Top Bottom