Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Ndugu zangu wana JF ule Msemo wa dalili za mvua ni mawingu sasa umetimia maana dalili zote za kuachwa na kukimbiwa na mpenzi wangu zimetimia.
Hapa nilipo moyo wangu unaenda fasta moyo umejawa na hofu nikimuona au akinipigia simu naanza kutetemeka na hii yote imetoka na Kauli yake ya anataka kuniacha sababu ya maisha lakini pia sipo vizuri kimaisha na mambo mengine ameyazungumza kuhusu mimi.
Hivyo wana JF naombeni Msaada ni jinsi gani ninaweza kuvuka kipindi hiki kigumu nisipitie stress na maumivu makali.
Hapa nilipo moyo wangu unaenda fasta moyo umejawa na hofu nikimuona au akinipigia simu naanza kutetemeka na hii yote imetoka na Kauli yake ya anataka kuniacha sababu ya maisha lakini pia sipo vizuri kimaisha na mambo mengine ameyazungumza kuhusu mimi.
Hivyo wana JF naombeni Msaada ni jinsi gani ninaweza kuvuka kipindi hiki kigumu nisipitie stress na maumivu makali.