Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
😂😂😂changu mwenyewe😃😃,acha uchoyo
vibrate joto litakuja tu 😄Fanya fanya unifikirie jamani😂😂😂
baridi lanitesa mwenzio
😂😂😂🙌 zitag hapaKuna raia naona zinaanza kutaka kutafuna mali zangu..
hahaa huu uchoyo sijui umeutoa wapi. .. itakuwa sio mtanzania wewe. .. watanzania wenzio hatunyimani 😃😃😃vibrate joto litakuja tu 😄
wewe siulisema huyo mtu wako yupo mtaani huko 😂😂😂Kuna raia naona zinaanza kutaka kutafuna mali zangu..
Hizi zako ni zakusadikikaNdoto nyingine huwa KWELI![]()

😄😄😄 Tz mnapeana na mnawezanahahaa huu uchoyo sijui umeutoa wapi. .. itakuwa sio mtanzania wewe. .. watanzania wenzio hatunyimani 😃😃😃
Nashauri atafune kitungu saumuWEKA UGORO KWENYE DOMO HILO UTAONGEA MWENYEWE
😄😄 Et🙄 em kuwa muwazi yupo wapi 🤷wewe siulisema huyo mtu wako yupo mtaani huko 😂😂😂
kwanini nisiwezane. .wewe jipange tu kukaa mkao wa popo kakojolea mbingu😃😃😄😄😄 Tz mnapeana na mnawezana
Nikikupea utawezana🤷