Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Kwanza simjui unayemzungumzia, anaweza akawa dada yangu, ivyo unataka nikuelekeze jinsi ya kufanikiwa kumchakata dada yangu sio!
And the shemeji is me why unaweka ngumu..?
Au nianzishe mgomo..😎
 
Oh pole sana ulifanya kosa gani?
Kuna komenti niliandika "kumbe na marekani kuna nyumbu" 😅😅
Sijui nilimkwaza nani nikakuta BAN tayari imelala upande wangu!
 
Kuna komenti niliandika "kumbe na marekani kuna nyumbu" 😅😅
Sijui nilimkwaza nani nikakuta BAN tayari imelala upande wangu!


Duh pole sana najua ww sio mtu wa comment zenye ukakasi.
 
Back
Top Bottom