Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Hata mm ni domo zege nikipanga nikamtongoze Dem huwa najikuta nakosa cha kuongea naanza kumeza tu mate kinyonge
 
Kuna binti hapa sio tu kaumbika no kakamilika idara zote kiasi kwamba hata nzi akimtulia kwenye mwili wake mi napata wivu

Tatizo sio kuumbika kwake,hivyo ni vivutio vya kitalii ambavyo nataka nikavifaidi ili kuitendea haki kazi ya bwana..
Tatizo ni udomo zege umenishika dhidi yake!

Nateseka juu yake,kula nakula lakini sishibi kwa sababu yake! Hata kunywa maji nakunywa lakini kiu hakiishi juu yake!.

Nikimsogelea maneno yananikimbia nabaki najiuma uma na kujikuna tu!.. na vile kabarikiwa tabasam ndo kabisa nikiliona mpaka mapigo yangu ya moyo yanachachamaa! Ni kama vile yananihukumu yananiambia "Leo Sasa!"

Msaada ndugu zanguni nifanyaje huu udomo zege niushinde?
Sign nzuri kabisaa binafsi napenda sana hali kama hiyo inikute inafaida lukuki mno.

1 inaepusha fedheha
2 inaepusha gharama
3 inaepusha na mamagonjwa

Furahia hiyo hali mkuuu.domo Zege naipenda sana na sijawahi kuijutia.
 
Kuna binti hapa sio tu kaumbika no kakamilika idara zote kiasi kwamba hata nzi akimtulia kwenye mwili wake mi napata wivu

Tatizo sio kuumbika kwake,hivyo ni vivutio vya kitalii ambavyo nataka nikavifaidi ili kuitendea haki kazi ya bwana..
Tatizo ni udomo zege umenishika dhidi yake!

Nateseka juu yake,kula nakula lakini sishibi kwa sababu yake! Hata kunywa maji nakunywa lakini kiu hakiishi juu yake!.

Nikimsogelea maneno yananikimbia nabaki najiuma uma na kujikuna tu!.. na vile kabarikiwa tabasam ndo kabisa nikiliona mpaka mapigo yangu ya moyo yanachachamaa! Ni kama vile yananihukumu yananiambia "Leo Sasa!"

Msaada ndugu zanguni nifanyaje huu udomo zege niushinde?


Piga punyeto nyege itakutoka tu.
 
Sign nzuri kabisaa binafsi napenda sana hali kama hiyo inikute inafaida lukuki mno.

1 inaepusha fedheha
2 inaepusha gharama
3 inaepusha na mamagonjwa

Furahia hiyo hali mkuuu.domo Zege naipenda sana na sijawahi kuijutia.
😂😂😂😂tobaaa mkuu
 
Sign nzuri kabisaa binafsi napenda sana hali kama hiyo inikute inafaida lukuki mno.

1 inaepusha fedheha
2 inaepusha gharama
3 inaepusha na mamagonjwa

Furahia hiyo hali mkuuu.domo Zege naipenda sana na sijawahi kuijutia.
Na ungekuwa Domo zege unafikiri ungependa kuwa hivyo.. haujui tu Baki na ushauri wako..
 
Back
Top Bottom