BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,286
Mpaka leo hii bado natumia PC muda mwingi sana kuingia huku.
Hivi Bak mlikuwa mnatumia pc kuingia jf eeh?
Hivi Bak mlikuwa mnatumia pc kuingia jf eeh?
Kelele za ni ndugu mbona kitu cha kawaidi hichi..😂😂😂😂😂 uzi ulikuwa kuhusu udomo zege wako wa huyo mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Sasa umeona kuna kuna kila dalili za BAK kupewa tunda tamu KIMASIKHARA MASIKHARA ukaanza kulia WIVU oh! Niambie kama the deal is done😳😳😳usiponiambia wewe yeye ataniambia 😂😂
Ghafla bin VU umejirudisha tena WIVU DEBE
😂😂😂😂😂😂
Kumbe huu uzi ulianzisha kumuumiza huyo mrembo ambaye kutokana na domo zege lako bado hujaona ndani 😂😂😂😂😂😂
Haya shusha mashairi yako labda safari hii utafanikiwa kupewa tunda tamu
🤣🤣🤣🤣
Taarifa nilishatoa hapo kabla huwezi shindana hapa maana propaganda aziweza,ngumi niko vizuri..
Tatizo langu ni ana kwa ana tu..
Hivi tu umeshaanza kuloa ndevu nichomoe kombora lengine ili nimalize mchezo au nikustahi tu!!
Wewe sio wa kufaidi tena bali wa kupambana na hali yako usije mtisha mtoto wa watu kwa mapengo yako uliyoyasitiri kwa meno bandia..![]()
domo zege banaaa
Mimi ndimi nitakuvika nishani ya Mapenzi achana na huyu mzee atakuvika nishani ya mapengo bure..
Sio tu hawezi kukununulia hata gauni lako la yesu ndie mwamba!, Bali hata kukufunga zipu ya gauni hilo itakuwa ni mtihani kwake..
Nishukie kipenzi,nikuonyeshe utenzi
Njoo kwa kenzy,nikupe Mapenzi..
Nitakaba kabali,watakuona kwa mbali
Utakuwa wa halali,utakula vidali..
Ndimi wako wakili nipe nikusitiri..
uzi ulikuwa kuhusu udomo zege wako wa huyo mrembo aliyeumbwa akaumbika.
Sasa umeona kuna kuna kila dalili za BAK kupewa tunda tamu KIMASIKHARA MASIKHARA ukaanza kulia WIVU oh! Niambie kama the deal is doneusiponiambia wewe yeye ataniambia
Ghafla bin VU umejirudisha tena WIVU DEBE
Kumbe huu uzi ulianzisha kumuumiza huyo mrembo ambaye kutokana na domo zege lako bado hujaona ndani
Haya shusha mashairi yako labda safari hii utafanikiwa kupewa tunda tamu
![]()





Kelele za ni ndugu mbona kitu cha kawaidi hichi..
Tatizo umeamua kupambania hadharani sasa tulia hayo ulitakiwa ukayetekeleze piemu huko usilie hapa utachafua uwanja.
Ila enzi hizo mlikuwa wachache humuMpaka leo hii bado natumia PC muda mwingi sana kuingia huku.
Wewe mkeo lliedieKelele za ni ndugu mbona kitu cha kawaidi hichi..
Tatizo umeamua kupambania hadharani sasa tulia hayo ulitakiwa ukayetekeleze piemu huko usilie hapa utachafua uwanja.








Kelele za ni ndugu mbona kitu cha kawaidi hichi..
Tatizo umeamua kupambania hadharani sasa tulia hayo ulitakiwa ukayetekeleze piemu huko usilie hapa utachafua uwanja.
Ila enzi hizo mlikuwa wachache humu
Siku hizi tumeivamia Hadi sisi tunacheka cheka tu humuNi kweli kabisa ila JF ya wakati ule pamoja na kuwa na wanachama wachache ilikuwa babkubwa kuliko ya sasa na mijadala moto moto ILIYOITIKISA Nchi usiku na mchana.







He he! Sawa kaolewe.. ila usijenihusisha yakikupata uzuri taarifa nishakupa hata hivyo huyu sio ndege Bali mwewe.







He he! Sawa kaolewe.. ila usijenihusisha yakikupata uzuri taarifa nishakupa hata hivyo huyu sio ndege Bali mwewe.









Ukimstahi mke ndugu huzai naeKuna binti hapa sio tu kaumbika no kakamilika idara zote kiasi kwamba hata nzi akimtulia kwenye mwili wake mi napata wivu
Tatizo sio kuumbika kwake,hivyo ni vivutio vya kitalii ambavyo nataka nikavifaidi ili kuitendea haki kazi ya bwana..
Tatizo ni udomo zege umenishika dhidi yake!
Nateseka juu yake,kula nakula lakini sishibi kwa sababu yake! Hata kunywa maji nakunywa lakini kiu hakiishi juu yake!.
Nikimsogelea maneno yananikimbia nabaki najiuma uma na kujikuna tu!.. na vile kabarikiwa tabasam ndo kabisa nikiliona mpaka mapigo yangu ya moyo yanachachamaa! Ni kama vile yananihukumu yananiambia "Leo Sasa!"
Msaada ndugu zanguni nifanyaje huu udomo zege niushinde?
Wababu ndio wazuri hawana drama.He he! Sawa kaolewe.. ila usijenihusisha yakikupata uzuri taarifa nishakupa hata hivyo huyu sio ndege Bali mwewe.

mlokole Mimi nitakufa kwa preshaMtu sio ujana wala nini mtu ni saikolojia yake...
Mi nimeshawaachia uwanja mengine mtajuana huko..







Basi huyu jamaa anahitaji msaada mkubwa. Kuna uzi mlikuwa mnavutana nani aanze kutuma kitu Pm, ilikuwa picha? Vp mmeshatumiana?
Hakuja kabisa huyu.