MSAADA; Nimepewa barua ya kumaliza mkataba na kuambiwa kuna uwezekano wa kutoendelea na kazi

South

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
3,514
5,137
Habari zenu waheshimiwa naomba kujuzwa.Niliajiriwa katika kampuni fulani na nimefanya kwa muda wa miaka 6 na kabla ya mkataba kuisha nilipewa barua ya kumaliza mkataba na kuambiwa nisiripoti kazini.Naomba kujua yafuatayo

1)Je barua niliyopewa ya kumaliza mkataba(End of contract) ndio ya hiyo hiyo ya kumaliza mkataba?

2)Kama kuna barua nyingine ntapewa je inatakiwa nipewe ndani ya muda gani? Na ni hatua gani za kisheria natakiwa kuzifuata kama nisipopewa ndani ya muda huo?

3)Na mwisho ni haki gani za msingi natakiwa kuzipata kutoka kwa mwajiri wangu pindi akifuata taratibu zote hapo juu

Karibuni kwa michango yenu pia kama kuna ambayo sijaainisha hapo na unaona ni muhimu kuyajua tafadhari yaweke ili mimi na yule ambaye amekumbwa na janga kama langu aweze kuelimishwa.
 
Pole sana mkuu...kwani mkataba uliosaini ulikuwa wa muda gani ?
....kwenye mkataba mlikubalianaje in case mkatata ukiisha au ukivunjika ?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikua ni wa mwaka mmoja mmoja kila ukiisha una renew nimejaribu kuupitia kuna kakipengele kanasomeka.... Upon such termination the employee shall be entitled to receive and be paid only the remuneration due to him hereunder up to the date of such termination, which shall include payment for any leave which is accrued
 
Ulikua ni wa mwaka mmoja mmoja kila ukiisha una renew nimejaribu kuupitia kuna kakipengele kanasomeka.... Upon such termination the employee shall be entitled to receive and be paid only the remuneration due to him hereunder up to the date of such termination, which shall include payment for any leave which is accrued
Mkataba wa mwaka mmoja...why wanakatisha miezi 6...wamekuambia sabb ni nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Termination of contract should be relying on terms and conditions, damages zitalipwa kwa aliepata hasara mfano boss wako kuvunja mkataba kabla muda kuisha inatakiwa akulipe mishahara yako yote ya miezi iliyobaki hivyo vivyo ukiacha kazi kabla mkataba wako kuisha utapaswa kumlipa boss wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikua ni wa mwaka mmoja mmoja kila ukiisha una renew nimejaribu kuupitia kuna kakipengele kanasomeka.... Upon such termination the employee shall be entitled to receive and be paid only the remuneration due to him hereunder up to the date of such termination, which shall include payment for any leave which is accrued
Mkuu
Kwa nilichoelewa hapa, unapaswa kulipwa mshahara wa ndani ya mwezi uliyoachishwa kazi au kumaliza mkataba, na kama ulikuwa na madai ya likizo. hapo baaaasiiii, mengine yote, jipange baba
 
Kwa uelewa japo sio mwanasheria, Kama mkataba umeisha sioni tatizo hapo kwa hao waajiri ni tofauti na kwamba wangekukatisha katikati kabla mkataba haujaisha.

Huwezi kuwashtaki kisheria kwamba kwa nini hawataki kukuongezea mkataba kwa sababu wanaajiri kwa interest zao. Kama walikulipa stahiki zako zote kipindi unafanya kazi nadhani utakua hauna madai yoyote kwenye hiyo kampuni
Haujakatishwa bali umeisha pitia vizuri bandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa japo sio mwanasheria, Kama mkataba umeisha sioni tatizo hapo kwa hao waajiri ni tofauti na kwamba wangekukatisha katikati kabla mkataba haujaisha.

Huwezi kuwashtaki kisheria kwamba kwa nini hawataki kukuongezea mkataba kwa sababu wanaajiri kwa interest zao. Kama walikulipa stahiki zako zote kipindi unafanya kazi nadhani utakua hauna madai yoyote kwenye hiyo kampuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Je hakuna pesa yoyote anayotakiwa kupewa mwajiriwa pindi mwajiri anapoamua kuachana nae nje ya madai?
 
Kama umeisha hawajakuongeza si basi? Tafuta kazi nyingine,,, isipokuwa tu kama unawadai baadhi ya malipo kama mkataba unavyoonyesha kama yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu
Kwa nilichoelewa hapa, unapaswa kulipwa mshahara wa ndani ya mwezi uliyoachishwa kazi au kumaliza mkataba, na kama ulikuwa na madai ya likizo. hapo baaaasiiii, mengine yote, jipange baba
Pamoja mkuu
 
Habari zenu waheshimiwa naomba kujuzwa.Niliajiriwa katika kampuni fulani na nimefanya kwa muda wa miaka 6 na kabla ya mkataba kuisha nilipewa barua ya kumaliza mkataba na kuambiwa nisiripoti kazini.Naomba kujua yafuatayo

1)Je barua niliyopewa ya kumaliza mkataba(End of contract) ndio ya hiyo hiyo ya kumaliza mkataba?

2)Kama kuna barua nyingine ntapewa je inatakiwa nipewe ndani ya muda gani? Na ni hatua gani za kisheria natakiwa kuzifuata kama nisipopewa ndani ya muda huo?

3)Na mwisho ni haki gani za msingi natakiwa kuzipata kutoka kwa mwajiri wangu pindi akifuata taratibu zote hapo juu

Karibuni kwa michango yenu pia kama kuna ambayo sijaainisha hapo na unaona ni muhimu kuyajua tafadhari yaweke ili mimi na yule ambaye amekumbwa na janga kama langu aweze kuelimishwa.
Kama ni NGO, hiyo ni kawaida Sana. Ongea na hr wako.

Utapewa mshahara wa siku 7 kwa mwaka kwa miaka yote sita, utalipwa likizo ambayo ulikuwa hujachukua.

Kikubwa kubaliana na hali Na uondoke salama. Ukipata kazi nyingine tena, itabidi waulize ulipokuwa unafanya kazi. Kama ukitoka vibaya, basi mrejesho hautakuwa mzuri.

Hakikisha wanakujazia form za mafao, huwezi jua mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni NGO, hiyo ni kawaida Sana. Ongea na hr wako.

Utapewa mshahara wa siku 7 kwa mwaka kwa miaka yote sita, utalipwa likizo ambayo ulikuwa hujachukua.

Kikubwa kubaliana na hali Na uondoke salama. Ukipata kazi nyingine tena, itabidi waulize ulipokuwa unafanya kazi. Kama ukitoka vibaya, basi mrejesho hautakuwa mzuri.

Hakikisha wanakujazia form za mafao, huwezi jua mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni binafsi
 
Back
Top Bottom