MSAADA; Nimepewa barua ya kumaliza mkataba na kuambiwa kuna uwezekano wa kutoendelea na kazi

Kijana ukiajiriwa unatakiwa ufanye kazi, yaani upige mzigo hadi bosi akiona kutokuwepo kwako kwa siku moja tu ni pigo kwa kampuni/taasisi hapo bosi lazma akuongezee mkataba bila kupenda...

Lakini kama unafika ofisini unaenda kuangalia chura za mademu na kumaliza unity za luku kwa kula kiyoyozi kamwe boss hawezi kukuongeza mkataba sahau hilo.....
 
Kijana ukiajiriwa unatakiwa ufanye kazi, yaani upige mzigo hadi bosi akiona kutokuwepo kwako kwa siku moja tu ni pigo kwa kampuni/taasisi hapo bosi lazma akuongezee mkataba bila kupenda...

Lakini kama unafika ofisini unaenda kuangalia chura za mademu na kumaliza unity za luku kwa kula kiyoyozi kamwe boss hawezi kukuongeza mkataba sahau hilo.....
:D:D:D
 
Habari zenu waheshimiwa naomba kujuzwa.Niliajiriwa katika kampuni fulani na nimefanya kwa muda wa miaka 6 na kabla ya mkataba kuisha nilipewa barua ya kumaliza mkataba na kuambiwa nisiripoti kazini.Naomba kujua yafuatayo

1)Je barua niliyopewa ya kumaliza mkataba(End of contract) ndio ya hiyo hiyo ya kumaliza mkataba?

2)Kama kuna barua nyingine ntapewa je inatakiwa nipewe ndani ya muda gani? Na ni hatua gani za kisheria natakiwa kuzifuata kama nisipopewa ndani ya muda huo?

3)Na mwisho ni haki gani za msingi natakiwa kuzipata kutoka kwa mwajiri wangu pindi akifuata taratibu zote hapo juu

Karibuni kwa michango yenu pia kama kuna ambayo sijaainisha hapo na unaona ni muhimu kuyajua tafadhari yaweke ili mimi na yule ambaye amekumbwa na janga kama langu aweze kuelimishwa.
Mkataba umeisha kiroho safi. Kisheria it is over . dai haki zako- likizo zisizochukuliwa, gratuity, certificate of service, na chochote unachodai kisheria muagane salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom