MSAADA: Nimepata kazi Serikalini dereva ila mshahara mdogo kuliko wa Mwendokasi ninakofanya kazi sasa. Nimechanganyikiwa!

Mkuu serikalini kuna mikopo, unakwatwa taratibu miaka kadhaa. Unakuta unakatwa elf50 kila mshahara wako uingiapo. Mshahara wa 350 unipe 300 Nina hofu gan marupurupu ya kutosha, pemben una unapewa mkopo wa 20M kwa miaka kadhaa, we iyo lak8 utaikushanya lin mpk 20M, mtoa mada usiwasikilize hawa inabdi uwe na jicho la kuona mbali usipende kuwa mvivu wa kufikir na kuona mbali. Huwa nawashaur watu siku zote "usihlangalie hapa, angalia kule"
Swali ni kwamba anajenga nini na anaendesha nini? Kwa hiyo huko aliko huyu mleta mada hakuna watu wenye magari na nyumba? Watu wengine wanajenga kwa vile ni wezi. Sasa na wewe unataka huyu naye akaibe huko?
 
Mkuu serikalini kuna mikopo, unakwatwa taratibu miaka kadhaa. Unakuta unakatwa elf50 kila mshahara wako uingiapo. Mshahara wa 350 unipe 300 Nina hofu gan marupurupu ya kutosha, pemben una unapewa mkopo wa 20M kwa miaka kadhaa, we iyo lak8 utaikushanya lin mpk 20M, mtoa mada usiwasikilize hawa inabdi uwe na jicho la kuona mbali usipende kuwa mvivu wa kufikir na kuona mbali. Huwa nawashaur watu siku zote "usihlangalie hapa, angalia kule"
Mshahara wa 350000 haukopesheki mil.20
 
Kazi ni ngumu kuzipata mkuu fanya utaratibu utafute namna ya kujitengenezea backup mapema kupitia huo huo mshahara, m nadhani kuamia kwenye mwendokasi mambo yanaweza kuharibika na ikajikuta kazi inakuponyoka hivi hivi
 
Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life.

Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000.

Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.

Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Mkuu kwa yeye atapewa hiyo 60 akiwa ndani ya Mkoa,ila akienda nje mfano manispaa au jiji anapewa 80,akipanda daraja inaongezeka 20 kote.
 
Boss, hapa ndo wengi hawapajui, washikaji kibao wanasota kitaa baada ya mkataba kuisha na kutemwa na hao WMA. Ni kama Tanroads, operators wa mizani.

Hizo per diem zinaishia kwenye starehe tu, angalau wizi wa mafuta unafanya kila siku.
wizi wa mafuta hii ndo perdiem ya kudumu kwa dereva achana na mshahara hata km unalipwa 100000 kwa mwezi ila umemilikishwa tank,fanya kazi
 
Kwamba awe anapiga nyoka🤣🤸🐍
Porini jamaa alikua anaweka kama tofali hivi. Chuma ilikua 110 ile, anajaza lita 20 tunaingia senta pale anajifanya kama anaingia kujaza upepo kumbe ndo mzigo umefika. Akirudi ni kcheko tu wikendi ndio imenza hivo
 
Nani kakwambia serikalini watu wanategemea mishahara??

Tena kwa kazi yq dereva yani unakuwa na per diem za kulala nje ya ndoa kibao ni wewe tu juhudi zako za kusuka majungu uwe unasafiri safiri zaidi ya wenzako
Na awe mchawi pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom