MSAADA: Nimepata kazi Serikalini dereva ila mshahara mdogo kuliko wa Mwendokasi ninakofanya kazi sasa. Nimechanganyikiwa!

Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
Hakuna mfanya wa serikalini anayetegemea mshahara vumilia mwanzo mgumu,utaelewa wenzio kwa huo huo Mdogo mbona Wana vitambi
 
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
Jiongezewe wewe nunua kipande cha gardeng pipe tafuta na dumu tupu la 20ltrs.
Usiulize vya nini.
 
Kuajiriwa hakujawahi kumuacha mtu salama

Ngoja nijitazame tena
Tafiti nyingi zinaonesha kuwa hakuna tajiri duniani aliyetajirika kwa ajili ya Mshahara.Mimi nimeajiriwa lakini najuta...Mind set inabaki mwisho. wa mwezi so huwezi kufanya Moshe nyingine na asilimia kubwa waajiri wanawabana sana waajiriwa wao. I doubt! Kama unaishi Dar mjomba laki taking 3 usipopata marupu rupu utaikimbia familia! Usisikilize ushauri wa humu Baku na laki nane yako
 
Mshahara laki 3, vigezo gani vya hali ya maisha vinatumiwa serikalini?
 
Nani kakwambia serikalini watu wanategemea mishahara??

Tena kwa kazi yq dereva yani unakuwa na per diem za kulala nje ya ndoa kibao ni wewe tu juhudi zako za kusuka majungu uwe unasafiri safiri zaidi ya wenzako

noma sana mkuu
 
Nani kakwambia serikalini watu wanategemea mishahara??

Tena kwa kazi yq dereva yani unakuwa na per diem za kulala nje ya ndoa kibao ni wewe tu juhudi zako za kusuka majungu uwe unasafiri safiri zaidi ya wenzako😂😂😂😂😂
Naku ~Zoom 😆😅😄😃😂😁😀😃😂
 
Security ya ajira ni ujinga ambao unawaponza wengi

Yani unalipwa kidogo kisa kuna security? Niliondoka serikalini pasipo kujali hiyo security, na sasa nilipo sijuti kuacha kazi serikalini. Tumetumwa hela mazee
 
Yani unalipwa kidogo kisa kuna security? Niliondoka serikalini pasipo kujali hiyo security, na sasa nilipo sijuti kuacha kazi serikalini. Tumetumwa hela mazee
Kinatuuwa Wengine Ni Huo Ujinga Wa Security
Wakati Huna Unachopata Cha Maana Miaka Inakwenda
Shida Tupu,Bora Uliliona Mapema Hili
Asilimia Kubwa Serikalini Ni Ndege Tunduni
 
Kinatuuwa Wengine Ni Huo Ujinga Wa Security
Wakati Huna Unachopata Cha Maana Miaka Inakwenda
Shida Tupu,Bora Uliliona Mapema Hili
Asilimia Kubwa Serikalini Ni Ndege Tunduni

Yani mishahara haikutani ikifika tarehe 15 uko apeche alolo unatembelea rim, ukiuliza eti kuna security security my foot !!! Nilisepa mie japo nilisota sana kitaa bila kazi but eventually ilikuja kupatikana ingine
 
800,000 x 12 = 9.6m per annum
300,000 x 12 = 3.6m per annum
9.6 take away 3.6 = 6.0

Yaani unafikiria kuziacha 6.0m kwa mwaka kwa kutegemea kazi ambayo hata haujui utapangiwa kitengo gani!
Yaani hata kama utapata safari za mara kwa mara, jua kwamba the first 6m sio kipato cha ziada, ni kipato cha kukufanya uwe level moja na ulikotoka. Zaidi ya hapo ndio extra income. (kwa hesabu za harakaharaka bila kuweka kodi etc). Sasa je utasafiri?
Kwa mfano ukaenda huko serikalini halafu ukapewa staff bus, kutwa kwenye foleni za dar, si utajuta?
Mambo ya security of employment yamepitwa na wakati. Security yako ni savings unayofanya na how you invest those savings upate extra income.
Umeongea vile inatakiwa kusemwa.

Huko serikalulini ni bahati nasibu.
 
Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life.

Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000.

Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.

Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi

Acha uongo, per diem kwa madereva hata awe wa kiwango cha chini akienda mkoani ni Sh 80,000/- kwa night moja! Tuulize sisi wenye madereva hapa ofisini.
 
Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!

Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .

Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tu.

Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?

Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?

Naomba ushauri.
Huonekani kwenye uzi wako.

Tar. 2/7 ishapita utakua usha fanya uamuzi labda na kazini usharipoti.

Haya tujulishe umechagua wapi na kwa nini.
 
...Yaani uache Laki Nane uende Kwenye Laki Tat???
Mbona naona hili kama linahitaji tu Akili binafsi na sio la kutafuta!!!
Labda tu kama una lingine unataka kutujulisha hapo, kama hilo la kwamba una Kazi lakini umepata Kazi nyingine!!
Shukuru
 
Akili za kuambiwa changanya na za kwako Mkuu, nadhani umeshauriwa sana itoshe kusema chaguo ni lako Serikalini kweli kuna hiyo job security na perdiem zipo kweli japo itategemea na Mkuu wa Idara/Kitengo utakachopangiwa na kumbuka hizo perdiem zinalipwa kutokana na ngazi yako ya mshahara. Huwezi linganisha Driver wa DMO na Driver wa Afisa Maliasili/Nyuki its obviously wa DMO ndio ana safari nyingi so as perdiem. So hapa ni wewe tu kuiacha hiyo 800,000 per month na kuhamia huko nilikojaribu kuelezea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom