Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
Kavimba mashavu kwa bata au kwa safura?Mdogo wangu mmoja ivi alipata udereva serikalini
Akapiga chini private
Now naona anazunguka tu DC
Kavimba mishavu aiseeh
Kavimba mashavu kwa bata au kwa safura?Mdogo wangu mmoja ivi alipata udereva serikalini
Akapiga chini private
Now naona anazunguka tu DC
Kavimba mishavu aiseeh
Hakuna mfanya wa serikalini anayetegemea mshahara vumilia mwanzo mgumu,utaelewa wenzio kwa huo huo Mdogo mbona Wana vitambiNimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.
Jiongezewe wewe nunua kipande cha gardeng pipe tafuta na dumu tupu la 20ltrs.Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.
Tafiti nyingi zinaonesha kuwa hakuna tajiri duniani aliyetajirika kwa ajili ya Mshahara.Mimi nimeajiriwa lakini najuta...Mind set inabaki mwisho. wa mwezi so huwezi kufanya Moshe nyingine na asilimia kubwa waajiri wanawabana sana waajiriwa wao. I doubt! Kama unaishi Dar mjomba laki taking 3 usipopata marupu rupu utaikimbia familia! Usisikilize ushauri wa humu Baku na laki nane yakoKuajiriwa hakujawahi kumuacha mtu salama
Ngoja nijitazame tena
Nani kakwambia serikalini watu wanategemea mishahara??
Tena kwa kazi yq dereva yani unakuwa na per diem za kulala nje ya ndoa kibao ni wewe tu juhudi zako za kusuka majungu uwe unasafiri safiri zaidi ya wenzako
Naku ~Zoom 😆😅😄😃😂😁😀😃😂Nani kakwambia serikalini watu wanategemea mishahara??
Tena kwa kazi yq dereva yani unakuwa na per diem za kulala nje ya ndoa kibao ni wewe tu juhudi zako za kusuka majungu uwe unasafiri safiri zaidi ya wenzako😂😂😂😂😂
Security ya ajira ni ujinga ambao unawaponza wengi
Kinatuuwa Wengine Ni Huo Ujinga Wa SecurityYani unalipwa kidogo kisa kuna security? Niliondoka serikalini pasipo kujali hiyo security, na sasa nilipo sijuti kuacha kazi serikalini. Tumetumwa hela mazee
Kinatuuwa Wengine Ni Huo Ujinga Wa Security
Wakati Huna Unachopata Cha Maana Miaka Inakwenda
Shida Tupu,Bora Uliliona Mapema Hili
Asilimia Kubwa Serikalini Ni Ndege Tunduni
Umeongea vile inatakiwa kusemwa.800,000 x 12 = 9.6m per annum
300,000 x 12 = 3.6m per annum
9.6 take away 3.6 = 6.0
Yaani unafikiria kuziacha 6.0m kwa mwaka kwa kutegemea kazi ambayo hata haujui utapangiwa kitengo gani!
Yaani hata kama utapata safari za mara kwa mara, jua kwamba the first 6m sio kipato cha ziada, ni kipato cha kukufanya uwe level moja na ulikotoka. Zaidi ya hapo ndio extra income. (kwa hesabu za harakaharaka bila kuweka kodi etc). Sasa je utasafiri?
Kwa mfano ukaenda huko serikalini halafu ukapewa staff bus, kutwa kwenye foleni za dar, si utajuta?
Mambo ya security of employment yamepitwa na wakati. Security yako ni savings unayofanya na how you invest those savings upate extra income.
Kwani hujui ishara za mafanikio ya Mbongo? Kitambi na kujaa mashavuKavimba mashavu kwa bata au kwa safura?
Haa haa haaKwani hujui ishara za mafanikio ya Mbongo? Kitambi na kujaa mashavu
Kwamba awe anapiga nyoka🤣🤸🐍Jiongezewe wewe nunua kipande cha gardeng pipe tafuta na dumu tupu la 20ltrs.
Usiulize vya nini.
Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life.
Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000.
Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Huonekani kwenye uzi wako.Nimepata kazi Serikalini dereva mshahara 300,000/ kwa mwezi, wakati Mwendo kasi nachukua 800,000/. Nimechanganyikiwa!
Wanabodi mimi ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na Mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tu.
Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yaani nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?
Kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za Serikali tatizo hiyo salary!?
Naomba ushauri.
Unafikiri kila taasisi wanalipa hivyo?Acha uongo, per diem kwa madereva hata awe wa kiwango cha chini akienda mkoani ni Sh 80,000/- kwa night moja! Tuulize sisi wenye madereva hapa ofisini.