kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Wewe ni muongo Sana una ndugu gani wewe Mimi nisiemjua?Fata ushauri wa huyu jamaa.
Nikupe mfano kuna ndg yng anafanya kazi serikalini analipwa 350k Ila anajenga na ana gar yake nzuri tuu. Na security ya kazi. Kama ni permanent kapige kazi kama ni ya muda acha acha acha