Msaada: Nimepata hasara kwenye biashara

sizonjemadawa

JF-Expert Member
Feb 11, 2017
1,053
1,303
Wakuu,

Nilianzisha biashara ya nguo lakini soko limekuwa gumu sana nilikuwa nachukua nguo K/koo napeleka mikoani hasahasa Morogoro ila biashara ni ngumu huko mzigo hautembei kabisa mauzo madogo mpaka pesa inaishia kwenye chakula, usafiri nå malazi tu.

Wakuu naomba ushauri maana kwenye akiba yangu nimebakiwa na 1,200,000 tu naombeni ushauri nifanye biashara gani kwa sasa itakayonitoa, maana hata sielewi.

Sizonje madawa
 
Wakuu nilianzisha biashara ya nguo lakini soko limekuwa ngumu sana nilikuwa nachukua nguo k/koo napeleka mikoani hasahasa morogoro ila biashara ni ngumu huko mzigo hautembei kabisa mauzo madogo mpaka pesa inaishia kwenye chakula, usafir nå malazi tu

Wakuu naomba ushauri maana kwenye akiba yangu nimebakiwa na 1,200,000 tu naombeni ushaur nifanye biashara gani kwa sasa itakayonitoa, maana hata sielewi

sizonjemadawa
Ujue ukitoa mambo ya hari ngumu kwa sasa biashara inahitaji ubunifu wa kiwango kikubwa sana.

Wewe unatoa nguo Kariakoo unapeleka Morogoro wapo maelefu wanafanya hivyo.

Jiulize ni kitu gani kitafanya wateja wanunue nguo zao na si za muuzaji mwingine. Jiulize na ujijibu mwenyewe.

Hakuna biashara rahisi na kile unacho kiona kigumu kabisa fanya hicho hicho kwa sababu kirahisi kila mtu anafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kachukue mchele Ifakara au Mlimba uje uuze maana hata hali ibane vipi bado watu watakula. Leta uuze jumla jumla kwenye maduka ya rejareja... Hata ukipata mia mia kwa kilo, kwa gunia la kilo mia una elfu kumi, ukiuza kumi kwa siku unaweza pata laki...
 
Kabla ya kufanya biashara fanya tathmini ya kutosha, uliza rafiki anaefanya hiyo biashara faida na hasara wewe jumlisha na kutoa. Fanya survey na anza kidogo kidogo ukicheki hali ya hewa. Kama hailipi acha jaribu ingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee pole sana, jaribu kununua mahindi kwa sasa sehem ambazo bei ipo Chini kidogo ( mf. Sado moja Tsh 1000. Nenda morogoro vijijini huko na katavi utapata kwa hiyo bei). Ukipata kwa hiyo bei means hiyo pesa iliyobaki nayo utapata gunia 30 +, zenye Sado sita @ gunia. Kisha store hizo gunia 30 kwa miezi mitatu, jitese tu kwa hii miezi kisha soma Upepo km mvua za vuri za mwezi wa tisa zikianza kunyesha basi push mzigo wote ambapo Sado utauza si Chini ya 3500 kutegemeana na sehem unayouzia. Lkn mvua za vuri zisiponyesha plz endelea ku store huo mzigo kwa miezi mingine miwili -mitatu utapiga hela mpk ushangae mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee pole sana, jaribu kununua mahindi kwa sasa sehem ambazo bei ipo Chini kidogo ( mf. Sado moja Tsh 1000. Nenda morogoro vijijini huko na katavi utapata kwa hiyo bei). Ukipata kwa hiyo bei means hiyo pesa iliyobaki nayo utapata gunia 30 +, zenye Sado sita @ gunia. Kisha store hizo gunia 30 kwa miezi mitatu, jitese tu kwa hii miezi kisha soma Upepo km mvua za vuri za mwezi wa tisa zikianza kunyesha basi push mzigo wote ambapo Sado utauza si Chini ya 3500 kutegemeana na sehem unayouzia. Lkn mvua za vuri zisiponyesha plz endelea ku store huo mzigo kwa miezi mingine miwili -mitatu utapiga hela mpk ushangae mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa wazo lako mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
badirisha biashara mkuu hamia kwenye nafaka mfano huku niliko mimi ifakara mpunga hivi sasa gunia ni 70 mpaka themanini debe 10,ukilifikisha mashineni unalikoboa unauza mchele kwa wanunuzi wanaopeleka daa atleast maisha yanasonga so ukiweza waweza fanya utafiti pia juu ya hii biashara sehemu yoyote utakayoona inamazingira rafiki kwako then ukijiridhisha utaimudu ingia upige mzigo usifanye biashara bila kufanya utafiti japo mdogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee pole sana, jaribu kununua mahindi kwa sasa sehem ambazo bei ipo Chini kidogo ( mf. Sado moja Tsh 1000. Nenda morogoro vijijini huko na katavi utapata kwa hiyo bei). Ukipata kwa hiyo bei means hiyo pesa iliyobaki nayo utapata gunia 30 +, zenye Sado sita @ gunia. Kisha store hizo gunia 30 kwa miezi mitatu, jitese tu kwa hii miezi kisha soma Upepo km mvua za vuri za mwezi wa tisa zikianza kunyesha basi push mzigo wote ambapo Sado utauza si Chini ya 3500 kutegemeana na sehem unayouzia. Lkn mvua za vuri zisiponyesha plz endelea ku store huo mzigo kwa miezi mingine miwili -mitatu utapiga hela mpk ushangae mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief nashukuru naondoka nå hik kitu

sizonjemadawa
 
badirisha biashara mkuu hamia kwenye nafaka mfano huku niliko mimi ifakara mpunga hivi sasa gunia ni 70 mpaka themanini debe 10,ukilifikisha mashineni unalikoboa unauza mchele kwa wanunuzi wanaopeleka daa atleast maisha yanasonga so ukiweza waweza fanya utafiti pia juu ya hii biashara sehemu yoyote utakayoona inamazingira rafiki kwako then ukijiridhisha utaimudu ingia upige mzigo usifanye biashara bila kufanya utafiti japo mdogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu

sizonjemadawa
 
Biashara za nguo,viatu,vipodozi sidhani kama zinatoka sasa,
wadada waliokua wanapaka cocoa butter lotion,siku hizi wanapaka mafuta ya mgando ya shs 500,babycare,jumbo,babysoft etc.

Fanya nafaka,utauza tu
 
Hahaha hapa ndo nawakubali watu.

Kwa kifupi hakuna boashara rahisi.

Hizo za nafaka wapo wanao lia kwa sasa, kuna mtu ana mgahawa analia kuna mtu ana bucha atakuambia Nyama haiendi.

Fanya kile ulicho na mapenzi nacho wewe kama wewe na sio mwingine.

Biashara zote zinahitaji commitemnt na pia hapo Inovations.

FANYA BIASHARA UKILENGA KUTATUA CHANGAMOTO UNAZO ZIONA KWENYE JAMII.

Ukisubili mtu akuambie cha kufanya inakula kwako.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hapa ndo nawakubali watu.

Kwa kifupi hakuna boashara rahisi.

Hizo za nafaka wapo wanao lia kwa sasa, kuna mtu ana mgahawa analia kuna mtu ana bucha atakuambia Nyama haiendi.

Fanya kile ulicho na mapenzi nacho wewe kama wewe na sio mwingine.

Biashara zote zinahitaji commitemnt na pia hapo Inovations.

FANYA BIASHARA UKILENGA KUTATUA CHANGAMOTO UNAZO ZIONA KWENYE JAMII.

Ukisubili mtu akuambie cha kufanya inakula kwako.




Sent using Jamii Forums mobile app
huyo mwenye bucha sio mbunifu,,
angeweka na kijiwe cha supu kwa bei ya chini kuliko wengine,angepiga pesa tu.
Huyo mwenye mgahawa kama anauza soseji na burger kipindi hiki lazima akae,
inatakiwa bidhaa iendane na eneo husika na hali ya wakazi wa hilo eneo
 
badirisha biashara mkuu hamia kwenye nafaka mfano huku niliko mimi ifakara mpunga hivi sasa gunia ni 70 mpaka themanini debe 10,ukilifikisha mashineni unalikoboa unauza mchele kwa wanunuzi wanaopeleka daa atleast maisha yanasonga so ukiweza waweza fanya utafiti pia juu ya hii biashara sehemu yoyote utakayoona inamazingira rafiki kwako then ukijiridhisha utaimudu ingia upige mzigo usifanye biashara bila kufanya utafiti japo mdogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaomba no yako mkuu tufanye mazungumzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Nilianzisha biashara ya nguo lakini soko limekuwa gumu sana nilikuwa nachukua nguo K/koo napeleka mikoani hasahasa Morogoro ila biashara ni ngumu huko mzigo hautembei kabisa mauzo madogo mpaka pesa inaishia kwenye chakula, usafiri nå malazi tu.

Wakuu naomba ushauri maana kwenye akiba yangu nimebakiwa na 1,200,000 tu naombeni ushauri nifanye biashara gani kwa sasa itakayonitoa, maana hata sielewi.

Sizonje madawa
Chukua nguo na Viatu nenda chunya biti manyanga now wamevuna tumbaku ..au nenda KWA wasukuma kipindi cha mavuno utatoboa

sent from my iPhone 6
 
Ujue ukitoa mambo ya hari ngumu kwa sasa biashara inahitaji ubunifu wa kiwango kikubwa sana.

Wewe unatoa nguo Kariakoo unapeleka Morogoro wapo maelefu wanafanya hivyo.

Jiulize ni kitu gani kitafanya wateja wanunue nguo zao na si za muuzaji mwingine. Jiulize na ujijibu mwenyewe.

Hakuna biashara rahisi na kile unacho kiona kigumu kabisa fanya hicho hicho kwa sababu kirahisi kila mtu anafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said
 
Aiseee pole sana, jaribu kununua mahindi kwa sasa sehem ambazo bei ipo Chini kidogo ( mf. Sado moja Tsh 1000. Nenda morogoro vijijini huko na katavi utapata kwa hiyo bei). Ukipata kwa hiyo bei means hiyo pesa iliyobaki nayo utapata gunia 30 +, zenye Sado sita @ gunia. Kisha store hizo gunia 30 kwa miezi mitatu, jitese tu kwa hii miezi kisha soma Upepo km mvua za vuri za mwezi wa tisa zikianza kunyesha basi push mzigo wote ambapo Sado utauza si Chini ya 3500 kutegemeana na sehem unayouzia. Lkn mvua za vuri zisiponyesha plz endelea ku store huo mzigo kwa miezi mingine miwili -mitatu utapiga hela mpk ushangae mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safii
 
Back
Top Bottom