Msaada: Nimepata hasara kwenye biashara

Hahaha hapa ndo nawakubali watu.

Kwa kifupi hakuna boashara rahisi.

Hizo za nafaka wapo wanao lia kwa sasa, kuna mtu ana mgahawa analia kuna mtu ana bucha atakuambia Nyama haiendi.

Fanya kile ulicho na mapenzi nacho wewe kama wewe na sio mwingine.

Biashara zote zinahitaji commitemnt na pia hapo Inovations.

FANYA BIASHARA UKILENGA KUTATUA CHANGAMOTO UNAZO ZIONA KWENYE JAMII.

Ukisubili mtu akuambie cha kufanya inakula kwako.




Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point kaka
 
biashara yeyote inabidi wew ufatilie watu wanavutiwa na Huduma ipi pengine ulikuwa unachukua nguo ambazo wateja walikuwa hawavutiwi ila sababu wew ulizipenda hizo nguo na ukaamini watu watanunua kubadilisha biashara nayo sio kazi ndogo kikubwa nikuomba watu wakushike mkono kufanya biashara hiyo unaweza ukaenda mwenyewe vijijini na pesa ikazidi kupungua sababu kila kijiji madalali hawakwepeki
 
Nyinyi hamjaelewa dhumuni la mleta mada.

Hiyo biashara ya K/Koo ni changa la macho tu,alikuwa hataki uzi wake uunganishwe na uzi mwingine ndo maana katumia ujanja huo

Lengo lilikuwa ,ana mtaji wa hicho kiasi alichokitaja ,je afanye biashara ipi?
 
Hasara kwa mfanyabiashara ni kitu cha kawaida,ndio maana sisi wajasiriamali huwa tuna msemo kuwa "Usihifadhi mayai yote kwenye chombo kimoja"
Kama biashara ya nguo imeyumba basi fanya ya vyakula.
 
Hahaha hapa ndo nawakubali watu.

Kwa kifupi hakuna boashara rahisi.

Hizo za nafaka wapo wanao lia kwa sasa, kuna mtu ana mgahawa analia kuna mtu ana bucha atakuambia Nyama haiendi.

Fanya kile ulicho na mapenzi nacho wewe kama wewe na sio mwingine.

Biashara zote zinahitaji commitemnt na pia hapo Inovations.

FANYA BIASHARA UKILENGA KUTATUA CHANGAMOTO UNAZO ZIONA KWENYE JAMII.

Ukisubili mtu akuambie cha kufanya inakula kwako.




Sent using Jamii Forums mobile app
Sure,
 
Do your homework.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-08-03-18-54-19-1.png
    Screenshot_2017-08-03-18-54-19-1.png
    318.2 KB · Views: 26
Wakuu,

Nilianzisha biashara ya nguo lakini soko limekuwa gumu sana nilikuwa nachukua nguo K/koo napeleka mikoani hasahasa Morogoro ila biashara ni ngumu huko mzigo hautembei kabisa mauzo madogo mpaka pesa inaishia kwenye chakula, usafiri nå malazi tu.

Wakuu naomba ushauri maana kwenye akiba yangu nimebakiwa na 1,200,000 tu naombeni ushauri nifanye biashara gani kwa sasa itakayonitoa, maana hata sielewi.

Sizonje madawa
Badilisha ilo jina la sizonje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom