Huntsman
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 633
- 577
Wakuu,
Nimeibiwa Laptops 2 Simu na Hard diskis 2 plus vitambulisho na kichinjio. Mbaya zaid mwizi anatumia namba yangu kumpigia rafiki yangu ana demand pesa ili arudishe mali alizoiba. Pia amesajili a special number ili atumiwe pesa huko na arudishe vitu vyote. Hizo laptops zina vital information na anatishia kuni blackmail zaidi. Namba yangu nimeamua kesho nika iblock ili nispate matatizo zaid. sasa wakuu wa teknolojioa hapa nifanyeje ili nimlocate alipo? Watu wa mitandao wako slow sana na wansema hawawezi kunipa location bali mnara alipo tu. na pia nimefuata protocal za kipolisi bado mambo magumu.
Msaada wakuu nitatoa 200k kwa atakaye niwezesha hili.
Humble respect.
Nimeibiwa Laptops 2 Simu na Hard diskis 2 plus vitambulisho na kichinjio. Mbaya zaid mwizi anatumia namba yangu kumpigia rafiki yangu ana demand pesa ili arudishe mali alizoiba. Pia amesajili a special number ili atumiwe pesa huko na arudishe vitu vyote. Hizo laptops zina vital information na anatishia kuni blackmail zaidi. Namba yangu nimeamua kesho nika iblock ili nispate matatizo zaid. sasa wakuu wa teknolojioa hapa nifanyeje ili nimlocate alipo? Watu wa mitandao wako slow sana na wansema hawawezi kunipa location bali mnara alipo tu. na pia nimefuata protocal za kipolisi bado mambo magumu.
Msaada wakuu nitatoa 200k kwa atakaye niwezesha hili.
Humble respect.