kingi mweuc
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 266
- 73
Habari wanajamvi kama head inavyoeleza hapo juu ni kama week moja imepita nimeibiwa simu yangu ya Tecno camon 12 air ndani ya gari so nilikua naomba msaada namna ya kuitrack ili niweze kumkamata coz RB ya police ninayo na wamenipa na namba zao wamesema nimtrack nikimpata niwapigie waje kumkamata kwa hivyo ndugu zangu naombeni mnisaidi ni website gani naweza kutrack simu detail zote ninazo imei namba na google account natanguliza shukrani