contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
- Thread starter
-
- #61
Ahahahah, kwani unafikiri hilo siogopi mshikaji, maana haya mambo hayana formula. [emoji12] [emoji12] [emoji12] niombee aisee sio mambo ya matani haya, ghafla nakuja hapa nalia, ninavalishwa kanikiSasa hapo mmeo akirithishwa mikoba ile unakua mke wa mchaw.....pole aisee
Nshakupata mkuuUngesomaga huko nyumaa hizo text ungeelewa nimejuaje.
Amina, nahitaji tu kupata matumaini, najua Mungu ni mwema sana ila mie mwanadamu kuna wakati nakata tamaa na haya majaribu.Hakuna Uchawi Mbele ya Mungu Mwenye Enzi Yote
Huko unakopita tulishapita na Mwisho wa siku Mungu ndiye Alfa na Omega
Asante, nitazidi kwenye maombi.Uchawi upon na Mungu anauchukia uchawi mno, ndio maana imeandikwa usimuache mwanamke mchawi kuishi, jiandae na majanga yasiyo katika ndio kinachoendeleaga kwenye familia za wachawi misiba ya kila siku na matukio mabaya, ila usiogope wewe dili na Mungu wa kweli na wachawi waache wadili na mambo yao uone Nani mwisho atashinda, usimuache mumeo wala usiwakimbie maana uchawi haukimbiwi wewe komaa na kuomba tuu mtumainie Mungu utashinda
Kupata access ya huko chumbani ni ndoto maana lazima niende kijijini kwao, huko kwa wazazi wake ambako ninadhani kwa sasa hapana.Kama ana access ya kuingia chumbani kwake anijulishe
Tatizo la kukutana wasomi mjini. Hakika ni kazitatizo huku scan mazingira kabla ya kuolewa na huyo bwana! enewai Mshana jr hii inakuhusu toa msaada tafadhali
Inaweza ikawa ni kweli nami ni mchawi, lkn kama umtu mzima umeolewa ama kuoa unaweza kuelewa ninayoongea kama sivyo, ngoja ufike huko.Na wewe nae ni mchawi labda mlikutana angani umeona umewahi kabla ya yeye hajakutangaza.
Ahahahah kweli ningefwata pesa ningeshaaa, ila bahati iko upande wangu, ni kapuku mwenzangu tu.Na kama ulifwata hela kwao. Utashaa !!
We mrudie Mungu tu na wengine wajifunze kukurupuka sio issue.
Kujua kajuaje inaweza ikawa ni maono ya ki Mungu tu (i cant judge that). Shida inakuja pale watu wanapodhani hamnaga uchawi. Unamuombaje Mungu kama hukubali uwepo wa shetani. Its funny.
Kama unaamini ktk Mungu, then huna tatizo. Jina la Yesu Kristu ni kuu kupita yote. Cha kufanya, kama huyo mumeo siyo mchawi basi ujue babu yake anaweza either kutoa kafara mumeo au mtoto wako. Ila ukiwa unasali na kumuamini Mungu, kufunga na kusali sana, mchawi hana nguvu juu ya familia yako. Ila unachotakiwa jirizishe kwanza kabla ya kuamini, ulizia watu wazima au tafuta source ya information ili uconfirm.Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili
Ok ila kama hajawahi kukudhuru usijali na kama ikatokea akaja kwako nijulisheKupata access ya huko chumbani ni ndoto maana lazima niende kijijini kwao, huko kwa wazazi wake ambako ninadhani kwa sasa hapana.
Sio hisia mpnz Wangu, we si umeconfess mwenyewe ukaniambia hujui cha kufanya waona aibu jamani na mzee anawachezea timbwili wenyewe jamani? Tuzidi kuomba tu mume wangu, mie hata sitaki urithi hiyo mikoba.Mke wangu umeshafika huku? Una uhakika baba ni mchawi au hisia zako tu?
AsanteNilikuelewa mamito
Hata kanisani wameniambia hivyo hivyo, mmh Mungu mtata sometimes ni nouma, majaribu mengine mazito mnoo mwenzenu.Ila hakuna ulicjomkosea Mungu bali alikuweka hapo kwa sababu maalumu.
Umejuaje..?Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili
Sawa mpare mwenzangu.Ok ila kama hajawahi kukudhuru usijali na kama ikatokea akaja kwako nijulishe
Sio waganga pekee hata wachungaji wa kilokole ni namba moja kwa kuvuruga familia za watu..Usikute kambiwa na mganga
Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili
wkt na yeye ameenda kumloga mumeweUsikute kambiwa na mganga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wkt na yeye ameenda kumloga mumewe