Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Natamani niende ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam au Rais wa wanyonge
Life is not fair accept it,be happy,smile nimefukuzwa kazi sababu tu ni disability (deaf hatua ya tatu ) tena kwenye ofisi ya serikali( serikali hii ya wanyonge) na kikubwa zaidi kazi nilikua nafanya kwa asilimia mia bila kikwazo chochote japo ni disability.
Ninayo miguu,mikono,macho na ninaongea vizuri tu . lakini Nina amini ni fitina tu na roho mbaya tu za baadhi ya viongozi . kwa sasa nipo tu mtaani sina kazi na Hali ngumu mno mtaani tangu mwaka huu uanze sijui lipi la kufanya .neno langu uongozi ni kitu cha mpito tu . hii inchi
Na sisi tuna familia kama nyinyi mnapotufukuza kazi twende wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Life is not fair accept it,be happy,smile nimefukuzwa kazi sababu tu ni disability (deaf hatua ya tatu ) tena kwenye ofisi ya serikali( serikali hii ya wanyonge) na kikubwa zaidi kazi nilikua nafanya kwa asilimia mia bila kikwazo chochote japo ni disability.
Ninayo miguu,mikono,macho na ninaongea vizuri tu . lakini Nina amini ni fitina tu na roho mbaya tu za baadhi ya viongozi . kwa sasa nipo tu mtaani sina kazi na Hali ngumu mno mtaani tangu mwaka huu uanze sijui lipi la kufanya .neno langu uongozi ni kitu cha mpito tu . hii inchi
Na sisi tuna familia kama nyinyi mnapotufukuza kazi twende wapi
Sent using Jamii Forums mobile app