Msaada: Nikiwasha Data tu, simu inajizima yenyewe

Msaada: Nikiwasha Data tu, simu inajizima yenyewe

Ndiyo simu yangu ya Kwanza LG G3 ilikuwa ina hizo issue za bootloop na flicker

Ndiyo nilikuwa na LG G3 ilikuwa na mtindo kama kama wake(bootloop+flicker/shade)
Forums kama xda na nyińgine solution waliyotoa ni kubadilisha betri nikafanya hivyo Ila tatizo halikuondoka.
Kuna jamaa alisema ni hardware issue ufumbuzi kuweka karatasi ya aluminium ili soc isipate joto sana.
So mimi nimekata kipande cha shaba kutoka kwenye cooling fan ya laptop then nikaifungua simu na kuweka hicho kipande kwenye Soc na kuapply thermal paste tatizo kwisha.
Namesharekebisha simu 3 sasa zote zinapiga mzigo
Unawekaje mkuu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom