nosnhjo
Member
- Sep 4, 2014
- 10
- 9
mkuu tatizo betri.. badilisha betri utaonaaWakuu nina tatizo kwa simu yangu
Simu yangu ni ya LG G3 tatizo linakuja kuwa nikiwasha data nikiingia internet tu inajizima na kujiwasha yenyewe sasa nashindwa kujua tatizo ninini?
Maana yake ni kuwa nashindwa kutumia hata watssap au mtandao wowote nikiwasha tu data za internet on inajizima saa hiyo hiyo na kujiwasha
Nisaidieni nifanyeje wakuu
Inanisumbua sana kuna. wakat battery inasoma ipo 70% hapo hapo mara inaandka battery low Baada Ya muda tena inaandka ipo 4%
Nikiwasha data ndo inajizima nikiweka airplane mode haizimi
Sasa hivi nikiwasha data ni mpk niwe nimeiweka kwenye chaji yaan niitumie huku inaingiza bila hivyo inajizima
Msaada please wakuu

sim za LG bado zinatumika