Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,080
Napoingia Facebook nikitaka kusoma habari ambazo zinapostiwa na blog mbalimbai huwa yanajaa sana matangazo kiasi kinachosabisha nisome kwa shida. Je nifanyaje ili matangazo yasiziwie nachokisoma kama hivyo uonavyo kwa picha
Napoingia Facebook nikitaka kusoma habari ambazo zinapostiwa na blog mbalimbai huwa yanajaa sana matangazo kiasi kinachosabisha nisome kwa shida. Je nifanyaje ili matangazo yasiziwie nachokisoma kama hivyo uonavyo kwa picha
kama ni ucweb activate speed mode au tumia opera kabisa uone kama yatatokea.Natumia browser ya Google chrome na Ucbrowser zote ni hivyo ivyo