Umeona eeehSi useme tu kuwa una koloni unakuja kumchesea mafusi
Dar haina haja ya maji ya moto. Umetoka mkoa gani man?
Okay, kwa Mbagala pale zipo kuna moja ipo Zakihem unaingia ndani kidogo nimeisahau jina bei kuanzia 15 to 25.
Temeke karibu kabisa na stendi ya mabasi ya kusini eneo linaitwa kituo Cha daladala pille Kuna hotel inaitwa Garden View hotel ni walking distance tu .usichukue hata bodaboda labda uwe na mizigo mingi.Bei elfu 30Zakemu upande upi wa hospitali au huku sheli bigbon