- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauri!Kuna mdau humu alinishauri niwaone Zola,tayari wamenifungia mtambo wao ndiyo niko nasikilizia,ingawa gharama zao naona zimeshibaKiukweli Battery la pro solar lipo poa sana sema solar zao ndio ghali, chukua Battery N100 na solar sundar watt 150 uta enjoy maisha.