Chukua hiikuna solar panel aina mbili, mono na poly, chukua Mono, utanishukuru baadae japo bei imechangamka, zigoogle kujua tofauti zake kimuonekano
kwa controller tafuta MPPT controller achana na PWM, mppt bei imechangamka ila hutajutia
Vifaa vyote hivyo ni DC? 120w naona kama umejipunja.Ninahitaji sola paneli ya watt 120 kwa ajili ya kuwashia taa, TV na laptop
Hapo naomba ufafanuzi,nimeshindwa kukuelewa!Unamaanisha nini kwa kusema vifaa hivyo ni DC?Mimi ni mshamba kabisa kwenye eneo hiloVifaa vyote hivyo ni DC? 120w naona kama umejipunja.
Hiyo Mono ikoje?Maana nikienda dukani nakutana na Sundar,oceanic n.kChukua hii
Unazungumzia aina au brand? Maana ni vitu viwili tofauti.
Kama ni brand, basi chukua kampuni ya Suntench au Jinko. Ingawa jinko panel za watts ndogo hawana, nafikiri wanaanzia watts 200 na kuendelea na output volts ni 24+. Ukishindwa hizi nenda kwenye maduka ya steps solar, watakupa panel na controller zenye ubora kiasi.
Hapa Mbeya hizo brand nawezazipata wapi?Unazungumzia aina au brand? Maana ni vitu viwili tofauti.
Kama ni brand, basi chukua kampuni ya Suntench au Jinko. Ingawa jinko panel za watts ndogo hawana, nafikiri wanaanzia watts 200 na kuendelea na output volts ni 24+. Ukishindwa hizi nenda kwenye maduka ya steps solar, watakupa panel na controller zenye ubora kiasi.
thread closedkuna solar panel aina mbili, mono na poly, chukua Mono, utanishukuru baadae japo bei imechangamka, zigoogle kujua tofauti zake kimuonekano
kwa controller tafuta MPPT controller achana na PWM, mppt bei imechangamka ila hutajutia
Una hoja nzuri ila umeongea as if wote wana elimu uliyonayo wewe.... Yaani ni sawa na kusema "aisee lile konde la Mwakinyo lilikuwa hatari sana" as if woootee wameshuhudia mapambanokuna solar panel aina mbili, mono na poly, chukua Mono, utanishukuru baadae japo bei imechangamka, zigoogle kujua tofauti zake kimuonekano
kwa controller tafuta MPPT controller achana na PWM, mppt bei imechangamka ila hutajutia


Umeonaee!Jamani fafanueni kwa ile lugha ya wote!Nimeenda kwenye maduka ya pale Mwanjelwa,nimekuta wanauza Sundar solar ,sasa nimeshindwa kuelewa maana wafanyabiashara wanasifia kile wanachouzaUna hoja nzuri ila umeongea as if wote wana elimu uliyonayo wewe.... Yaani ni sawa na kusema "aisee lile konde la Mwakinyo lilikuwa hatari sana" as if woootee wameshuhudia mapambano![]()
Lazima upate shida kwa sababu kwa kutumia tuu majina au brand (Sundar, sijui nini...) ni ngumu sana kujua ipi bora na wauzaji wao wanavutia kuuza bidhaa zao tuu...Umeonaee!Jamani fafanueni kwa ile lugha ya wote!Nimeenda kwenye maduka ya pale Mwanjelwa,nimekuta wanauza Sundar solar ,sasa nimeshindwa kuelewa maana wafanyabiashara wanasifia kile wanachouza
watafute eggy energy watakufanyia kila kitu na utalipia kidogo kidogoUnazungumzia aina au brand? Maana ni vitu viwili tofauti.
Kama ni brand, basi chukua kampuni ya Suntench au Jinko. Ingawa jinko panel za watts ndogo hawana, nafikiri wanaanzia watts 200 na kuendelea na output volts ni 24+. Ukishindwa hizi nenda kwenye maduka ya steps solar, watakupa panel na controller zenye ubora kiasi.
Tunaotumia Koroboi hapa hapatuhusu.Ninahitaji sola paneli ya watt 120 kwa ajili ya kuwashia taa, TV na laptop!
Kwa wale wajuzi ninunue aina gani?
Mbeya kwa kweli sijui ila kwa dar ndio unaweza kupata.Hapa Mbeya hizo brand nawezazipata wapi?
Kabisa mkuu. Tofauti ni ndogo sana.Tafuta brand ya SUNPOWER, zinatoka US, zipo pia zilizotengenezwa Germany.
Ukipata monocrystalline ni nzuri zaidi ya polycrystalline, japo kwa technologia ilipofikia tofauti hiyo ni ndogo sana. Kwa hiyo bajeti ikibana chukua poly.
Matumizi ya mono, poly, ama amorphous solar panel yanategemea hali ya hewa ya sehemu alipo mtumiaji. Pia zipo zaidi ya aina tatu za solar panels ingawa nyingi bado zipo kwenye maabara kwa ajili ya utafiti.kuna solar panel aina mbili, mono na poly, chukua Mono, utanishukuru baadae japo bei imechangamka, zigoogle kujua tofauti zake kimuonekano
Atafute trusted dealers/suppliers wa panels hizi hapa nchini. Unaweza kupata orodha ya wauzaji wa panels kutoka kwenye directory ya watu wa TAREA. TAREA ni Tanzania Renewable Energy Association ambayo ni mdau mkubwa katika kuhimiza matumizi ya nishati jadidifu nchini Tanzania, Matumizi ya nishati jadidifu yanahusisha matumizi ya solar panels. TAREA wapo kwenye eneo la EPZA -barabara ya Mandela Dar es Salaam kwa ushauri zaidi watembelee. Ama ingia kwenye website yao.Lazima upate shida kwa sababu kwa kutumia tuu majina au brand (Sundar, sijui nini...) ni ngumu sana kujua ipi bora na wauzaji wao wanavutia kuuza bidhaa zao tuu...