Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Ndiyo shida ya kuolewa na mume anayeshikiwa akili!!!
umeona eeeeh
Ndiyo shida ya kuolewa na mume anayeshikiwa akili!!!
Mmh! Huyo mshikaji anatuaibisha wanaume yani umempenda mtoto wa watu mpaka ukaamua kumuoa halafu unaruhusu mjinga mwingine kukuharibia? Acha ulofa we kidume hebu fanya maamuzi kama mwanaume.
Ndo hasara ya kuolewa na mama's boy
Mwambie huyo mke asepe mpaka mumewe atakapokomaa kiakili,
Mume unamwachia matumizi dada yake??? Kweli? Au anamdoo dada yake?
Ndiyo shida ya kuolewa na mume anayeshikiwa akili!!!
0752385738 hii namba yake usibip lakiniKwan wanaume wamekwisha?
nipe no yake.
0752385738 hii namba yake usibip lakini
Kwa hiyo na wewe huwapendi wifi zako. Na una chuki na wivu nao. Kitu kimoja inachonishangaza, wanawake wanalalamika kunyanyaswa nawifi zao, lakini na wao wanakuwa na gubu kwa wake wa kaka zao. Inakuwaje lakiniYaan mawifi hata ungewapa niniiii sijawah sikia mtu anapendwa na wifi yake ni wachache mnoo wengi ni chuki na wivu
Kuna mawifi wachoyo hatari, ukute alikuwa akiachiwa yeye anawanyima chakula...from no where mume hawezi kuanza kuacha pesa kwa dada zake...lazima kuna kitu.
Wote wamekosa busara, ila mke amekosa busara zaidi...huwezi shindana na mawifi...Vitu vingine unatakiwa udharau na kupuuzia hadi wajione wajinga.
Yaan mawifi hata ungewapa niniiii sijawah sikia mtu anapendwa na wifi yake ni wachache mnoo wengi ni chuki na wivu
Kwa hiyo na wewe huwapendi wifi zako. Na una chuki na wivu nao. Kitu kimoja inachonishangaza, wanawake wanalalamika kunyanyaswa nawifi zao, lakini na wao wanakuwa na gubu kwa wake wa kaka zao. Inakuwaje lakini
Kuna vitu huwezi kuvipuuzia ukiwa nyumbani kwako aisee.....
Na kuna mama's boys hata mkipanga jambo chumbani halipiti mpaka mama yake na dada zake wa-authorize....
All in all mwanaume boya.
Kama mke mchoyo alipaswa kutafuta alternative.
Msikitini
Wanaume wengine ni kwa ajili ya kuhesabiwa katika sensa tu.