Msaada: Ndoa ya ndugu yangu ipo mashakani

Msaada: Ndoa ya ndugu yangu ipo mashakani

Kukaa na mawifi ni matatizo tu, tena mawifi wenyewe ndo hao pole zake

Unaweza kuta hao mawif hakuna hata aliyeolewa na wala hawana wachumba

Mama yangu huwa ananambia "unachomtendea mwenzako nawe utakuja tendewa hivyo na utaumia mara 2"
Hivyo mungu atamlipia tu huyo dada
 
Hameni hapo mukale ujana kitaa.
This time pangeni chumba kimoja tu tena cha selfu mawifi wakija wakose pakunya na pakulala warudi kwao siku hiyohiyo.
 
Mwanaume huyu utamshauri nini, wakati anatumia akili ya mtu mwingine?
Any way,
Hapo cha kufanya, ndugu wa mkewe wakae pamoja na kupitia upya ndoa ya mtoto wao ilikuwa na kidini, serikali au ya mila ili waamue wagawane mali au warudiane kwa hati ya masharti.
 
Kuna ndoa nyingine ukiwa na hasira sana watoto watapata shida sana.
 
Alternative si ndo hiyo kaanza kuwaachia pesa ya kula dada zake?
Bahati nzuri mimi nina kaka tupu, nina experience na mambo ya mawifi...
Mtu anaolewa anawaza kusambaratisha familia, ni umbea na uchonganishi....
Bahati nzuri nimesoma saikolojia I can handle them...

So msimlaumu tu mwanaume na ndugu zake.

Aliona shida gani kuambatana na mkewe wakanunua mchrle unga maharage gas mkaaa mafuta nyanya nk vikakaa ndani?

Unless uniambie mkewe anavificha uvunguni
 
Msiwalaumu mawifi tu, hata huyo mke pia ana lawama zake, Yeye angepigania ndoa yake, angedeal na mumewe...
Kama pesa ya kula wanaachiwa mawifi na hawmnyimi chakula basi fine, angejifanya mjinga ili ndoa yake isimame...
Lakini kama alitaka kushindana na na ndugu wa mume basi ndo maana kachemka..

Ushauri wa bure; Ukigombana na ndugu wa mumeo gombana nao peke yako, usije kuthubutu kumuingiza mume katika ugomvi, hata akiwa upande wako mwisho wa siku wale ni ndugu zake tu...
Na siku akili zikimkaa sawa akigundua we ndo sababu ya kutoelewana na ndugu zake...atakuchukia.[/QUOTE
Walikuwa nasema kuwa chakula kila siku akitoshi eti kila akipewa pesa anatoa elfu 3 kweli kwa mji huu elfu 3 ule chakula kizuri mchana mpaka usiku ndo akamwambia kama waona nawaibia wape wao .na ikafikia kipindi msichana kabeba mimba hata akitamani soda hana pesa baada ya muda mimba ikatoka na bado alikuwa kimya tu
 
Back
Top Bottom