Msaada: Ndoa ya ndugu yangu ipo mashakani

Msaada: Ndoa ya ndugu yangu ipo mashakani

myhny

Senior Member
Joined
May 27, 2014
Posts
123
Reaction score
23
Kuna ndugu yangu kaolewa ila tangu kaolewa anaishi na wifi zake kila mara maneno mara mchafu mara mvivu anaroho mbaya.nIkafikia kipindi mpaka pesa ya chakula hapewi yeye anapewa wifi yake ambae dada wa mume wake imeenda.

Ikafika siku mume wake kasafiri wamebishana acha huyo wifi ampige( maryam jina la huyo ndugu yangu )ikabidi aondoke aende kwa mama ake mkubwa kwao inakuwa mkoani yeye anakaa Dar bahati nzuri na mama ake mzazi alikuwepo.

Mumewe alivyorudi kikaitwa kikao akasema hawezi kukaa na wifi zake bora awaachie nyumba wakapange chumba na mumewe au arudi kwao.mKesi ikaisha suluhisho mawifi wataenda kwa mama yao mkubwa .

Wamekaa siku kama mbili kumbe mama mkwe na baba mkwe wanamwambia mtoto wao watampa radhi kama hatamrudisha huyo msichana kwao mwanamme anampenda mke wake ila dada zake na wazazi wake wote wamemkasirikia.

Ikabidi amrudishe mwanamke kwao kwa kisingizio anasafiri kikazi kumbe kusafiri hajasafiri na mwanamke yuko kwao na taraka hajatoa ushauri jamani samahanini kwa usumbufu.
 
hehe kama ni ww ndo mume kweli hamnazooo,haa unaomba ushaur upumbavuuuuuu hamjakomaa akili ww na mkeo
 
Wanawake tujifunze kujitegemea jamani, ndo haya mambo unakuwa limama but still unakula kwa shikamoo kwenye nyumba ya kaka ako. Afu we ni mwanamke, kwa nini uharibu ndoa ya wifi ako? Inawezekana pia kwa kuwa wewe hujaolewa ndo maana unamletea gubu wifi ako.
Anyway, Karma has no menu, u get served what u deserve. So siku ukiolewa jiandae kabisa na mawifi zako, watakupa headache hadi utafurahi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sijui kwann wanawake hawapendani, mawifi wanamambo ya ajabu sana. Sasa wanamfukuza mke wa kaka yao ili awaoe wao au?
Naye mwanaume ni bwabwa siwez ukakaa na dada nyumban halafu wanamnyanyasa mke wangu. Kama wanataka madaraka na wao si waolewe?............ Ndio tatizo la vijana sisi kukulia kwa mama tu mpaka unaoa upo kwa mama tu aaghh
 
Wanawake tujifunze kujitegemea jamani, ndo haya mambo unakuwa limama but still unakula kwa shikamoo kwenye nyumba ya kaka ako. Afu we ni mwanamke, kwa nini uharibu ndoa ya wifi ako? Inawezekana pia kwa kuwa wewe hujaolewa ndo maana unamletea gubu wifi ako.
Anyway, Karma has no menu, u get served what u deserve. So siku ukiolewa jiandae kabisa na mawifi zako, watakupa headache hadi utafurahi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

waambie hao yani adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie sijui tukoje mi pia dada yangu ana tabia hzo za kiswaz yani wifi yetu hana amani tena yeye sista kaolewa ila wameshhindwa kupanga wapo home jamank anaingilia ndoa hadi bas wapo sana tena sana mi siwapendi mbwa wa aina hii!
 
waambie hao yani adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie sijui tukoje mi pia dada yangu ana tabia hzo za kiswaz yani wifi yetu hana amani tena yeye sista kaolewa ila wameshhindwa kupanga wapo home jamank anaingilia ndoa hadi bas wapo sana tena sana mi siwapendi mbwa wa aina hii!

kazi kwelikweli
 
Sheria ufuate mkondo wake tu nia ya hao wifi na hao wazee wa mume sio nzuri
 
Ndoa bada haijamaliza ata miaka miwili
 
ifike mahali wanaume tubadilide, utaoaje ukiwa kwa wazazi?
inaonekana kabla jamaa hajaoa alikuwa anaacha hela nyingi home baada ya kuoa hatoi tena kama ilivyokuwa mwanzo
 
Ndoa haijafikisha ata miaka miwili
 
napingana na hili swala la kukaa karibu na mawifi hawa ni matatizo
 
Back
Top Bottom