awamuyetu
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 307
- 137
Habari zenu waungwana, nimekuwa na tatizo kwa muda mrefu sasa, nimekuwa natokewa na vipele ambavyo baadae hubadilika na kuwa kama ni mtu aliyeungua moto.
Huwa natumia Acyclovir vinakauka na baada ya muda wa miezi hujitokeza tena. Kwa madaktari na wataalamu mliopo humu naomba msaada niweze kupata ufumbuzi wa kudumu. Natanguliza shukrani za dhati kabisa.
Huwa natumia Acyclovir vinakauka na baada ya muda wa miezi hujitokeza tena. Kwa madaktari na wataalamu mliopo humu naomba msaada niweze kupata ufumbuzi wa kudumu. Natanguliza shukrani za dhati kabisa.