Msaada nataka kumzalisha huyu mdada

Msaada nataka kumzalisha huyu mdada

Unataka kumzalisha, hauna ata mpango wa kumuoa, mawazo ya kipumbavu kwa ujana na umri ulionao, akishazaa unamuita singo maza, matunzo ya mtoto usimpe ndo maana mnarogwa mnaokota makopo
Nataka nimuoe mkuu,nampenda sna
 
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.

Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.

Huyu binti simsifu Sana but ana tabia nzuri Sana, mtu wa mungu, but hajasoma Kama mie, yupo kwenye collage Fulani anamaliza this year

Mie Nina 29yrs, yeye 22 mie natamani kuwa na mtoto, binti anataka nimpe angalau miaka miwili, ili akimaliza kusoma atafute kazi afu ndo tuzae, mie naona miaka miwili Ni Mingi nataka mtoto now.

Huyu binti siku zake za mzunguko mie ndo nahesabu mie ndo napanga tukikutane kwenye siku kadhaa, yeye mambo ya kumanage menstrual cycle hajui, anasema mie nkishajua Basi, so nkiamua kumpa mimba Ni chap sema bado sijafanya final decision

Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto

N.b mbususu napewa Kama kawaida


Je nipige mimba au nisubiri mtoto wa watu nae apate kazi

Msaada wakuu
Tafuta kazi kwanza, mtoto hali maneno
 
Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

Sababu ya kipumbavu kabisa ambayo mtu akiitaja huwa naona hana maamuzi binafsi...

Kwa hiyo marafiki zako wengi wakigeuka kuwa machoko nawe utafanya hivyo?
 
Wotee niliowa-tag NJOONI HAPAA...

Mnataka mwenzenu aoe ili agundue nini?😳😳😳😳

Sikia kijana mwenzangu Boeing787-8 binafsi Nina Miaka 32 na SINA HABARI, SINA MPANGO na wala SIHITAJI KUOA.

Nione ili iweje, KWA DUNIA HII KUNA SABABU YOYOTEE YA KUOA?

Hawa waliokwambia UOE, yaani tungeweza kuweka camera kwenye nyumba zao tuone wanayopitia kwenye ndoa zao nadhani UNGEWAONEA HURUMA na kuwaandalia harambee ya kuwakomboa.

Bahari Boeng umenunuliwa na Magu kwa bei kubwa sanaa kutoka nchi kubwa sanaa duniani, sasa sikia nakwambia hivi HAKUNA KUOA, HAKUNA KUOA.

Mzee baba kali linux am signing out.

KUOA KUOA, KUOA MY FOOT..!!!
😏😏😏😏😏😏😏😏
😡😡😡😡😡😡😡😡
😠😠😠😠😠😠😠😠

Any way... YANGA BINGWA.

#YNWA
Madini ghali kabisa lkn yanatolewa bure.

Kuna ndugu yao mmoja humu aliamua kumuachia mke wake wa ndoa mali zote alizovuna kwa miaka kama 10 hv ili tu kuikimbia ndoa, na uzi umo humuhumu.

Civics form ngp cjui wanasema kuna special groups kwenye jamii na women ni special group moja wapo ukiachana na children & disabled people.

Wanawake ni special group coz ni 'half a psycho', muoe ndo utaiona hio half kazi yake.
 
Mtoa mada una uhakika uchumi wako unaruhusu kuongeza kiumbe kingine kwenye maisha yako ambacho kitakutegemea

Isijekuwa ndiyo wale wale wa "kila mtoto huja na ridhiki yake"

Kama unampenda umuoe ndiyo umzalishe
 
Wotee niliowa-tag NJOONI HAPAA...

Mnataka mwenzenu aoe ili agundue nini?😳😳😳😳

Sikia kijana mwenzangu Boeing787-8 binafsi Nina Miaka 32 na SINA HABARI, SINA MPANGO na wala SIHITAJI KUOA.

Nione ili iweje, KWA DUNIA HII KUNA SABABU YOYOTEE YA KUOA?

Hawa waliokwambia UOE, yaani tungeweza kuweka camera kwenye nyumba zao tuone wanayopitia kwenye ndoa zao nadhani UNGEWAONEA HURUMA na kuwaandalia harambee ya kuwakomboa.

Bahari Boeng umenunuliwa na Magu kwa bei kubwa sanaa kutoka nchi kubwa sanaa duniani, sasa sikia nakwambia hivi HAKUNA KUOA, HAKUNA KUOA.

Mzee baba kali linux am signing out.

KUOA KUOA, KUOA MY FOOT..!!!
😏😏😏😏😏😏😏😏
😡😡😡😡😡😡😡😡
😠😠😠😠😠😠😠😠

Any way... YANGA BINGWA.

#YNWA
Sawa Mbunge wa Upinzani, Mimi nakuachia mfuasi wako
 
We ni kijana wa hovyo[emoji23]uyo anataka ndoa,SHENZI [emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom