Msaada nataka kumzalisha huyu mdada

Msaada nataka kumzalisha huyu mdada

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,199
Reaction score
1,292
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.

Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.

Huyu binti simsifu Sana but ana tabia nzuri Sana, mtu wa mungu, but hajasoma Kama mie, yupo kwenye collage Fulani anamaliza this year

Mie Nina 29yrs, yeye 22 mie natamani kuwa na mtoto, binti anataka nimpe angalau miaka miwili, ili akimaliza kusoma atafute kazi afu ndo tuzae, mie naona miaka miwili Ni Mingi nataka mtoto now.

Huyu binti siku zake za mzunguko mie ndo nahesabu mie ndo napanga tukikutane kwenye siku kadhaa, yeye mambo ya kumanage menstrual cycle hajui, anasema mie nkishajua Basi, so nkiamua kumpa mimba Ni chap sema bado sijafanya final decision

Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto

N.b mbususu napewa Kama kawaida


Je nipige mimba au nisubiri mtoto wa watu nae apate kazi

Msaada wakuu
 
Kijana wa miaka 29 ni mtu mzima kabisa... Fanya maamuzi acha kutafuta maoni ya watu.

kwenye maelezo yako nimetafuta neno kuoa sijaliona kabisa.

Kama Baba mwenye mtoto wa kike nimefedheheshwa saana.
 
We akili hakuna kabisa kichwani ni emptyness beaker

Kwa hio ukimpa mimba akazaa ndo akuachi?? Otherwise mnafanana maumbo ila akiwa mzuri kwsha habari yako utatoka na hutamkuta either akuachie mtoto au asepe nae...kajala na pfunk vipi?? Mbna mama analiwa na maisha yanaenda ..onyo nakupa mdogo wangu usiforce kama hataki atakuja sepa na mtoto uanze kulia mwache kama ni kusepa aende bila damu yako
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.

Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.

Huyu binti simsifu Sana but ana tabia nzuri Sana, mtu wa mungu, but hajasoma Kama mie, yupo kwenye collage Fulani anamaliza this year

Mie Nina 29yrs, yeye 22 mie natamani kuwa na mtoto, binti anataka nimpe angalau miaka miwili, ili akimaliza kusoma atafute kazi afu ndo tuzae, mie naona miaka miwili Ni Mingi nataka mtoto now.

Huyu binti siku zake za mzunguko mie ndo nahesabu mie ndo napanga tukikutane kwenye siku kadhaa, yeye mambo ya kumanage menstrual cycle hajui, anasema mie nkishajua Basi, so nkiamua kumpa mimba Ni chap sema bado sijafanya final decision

Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto

N.b mbususu napewa Kama kawaida


Je nipige mimba au nisubiri mtoto wa watu nae apate kazi

Msaada wakuu
 
"Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto"

Kwa sababu hizo kwanini Usimuoe sasa,
Huyo Binti anayesoma ka college fulani ana akili kuliko wewe mwenye degree.
 
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.

Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.

Huyu binti simsifu Sana but ana tabia nzuri Sana, mtu wa mungu, but hajasoma Kama mie, yupo kwenye collage Fulani anamaliza this year

Mie Nina 29yrs, yeye 22 mie natamani kuwa na mtoto, binti anataka nimpe angalau miaka miwili, ili akimaliza kusoma atafute kazi afu ndo tuzae, mie naona miaka miwili Ni Mingi nataka mtoto now.

Huyu binti siku zake za mzunguko mie ndo nahesabu mie ndo napanga tukikutane kwenye siku kadhaa, yeye mambo ya kumanage menstrual cycle hajui, anasema mie nkishajua Basi, so nkiamua kumpa mimba Ni chap sema bado sijafanya final decision

Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto

N.b mbususu napewa Kama kawaida


Je nipige mimba au nisubiri mtoto wa watu nae apate kazi

Msaada wakuu
Acha ufala wewe. Mpe mimba huyo mrembo bwana.
 
Mimi sishauri mzinzi,
Nilijua unataka kuoa ndo uzae kumbe unataka kuzaa Tu alafu msaidiane Kulea na mtoto wa watu.
Acheni kuharibu MABINTI ZETU.
Hivi wanaume hujiulizi kama ni wewe dada yako wa MIAKA 22 anapigiwa mahesabu kama haya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom