Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,199
- 1,292
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.
Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.
Huyu binti simsifu Sana but ana tabia nzuri Sana, mtu wa mungu, but hajasoma Kama mie, yupo kwenye collage Fulani anamaliza this year
Mie Nina 29yrs, yeye 22 mie natamani kuwa na mtoto, binti anataka nimpe angalau miaka miwili, ili akimaliza kusoma atafute kazi afu ndo tuzae, mie naona miaka miwili Ni Mingi nataka mtoto now.
Huyu binti siku zake za mzunguko mie ndo nahesabu mie ndo napanga tukikutane kwenye siku kadhaa, yeye mambo ya kumanage menstrual cycle hajui, anasema mie nkishajua Basi, so nkiamua kumpa mimba Ni chap sema bado sijafanya final decision
Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa
-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto
-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa
-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha
-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto
N.b mbususu napewa Kama kawaida
Je nipige mimba au nisubiri mtoto wa watu nae apate kazi
Msaada wakuu
Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa miaka miwili, mkataba ukaisha, now nafanya bihashara na mungu anasaidia Mambo yanaenda.
Huyu binti simsifu Sana but ana tabia nzuri Sana, mtu wa mungu, but hajasoma Kama mie, yupo kwenye collage Fulani anamaliza this year
Mie Nina 29yrs, yeye 22 mie natamani kuwa na mtoto, binti anataka nimpe angalau miaka miwili, ili akimaliza kusoma atafute kazi afu ndo tuzae, mie naona miaka miwili Ni Mingi nataka mtoto now.
Huyu binti siku zake za mzunguko mie ndo nahesabu mie ndo napanga tukikutane kwenye siku kadhaa, yeye mambo ya kumanage menstrual cycle hajui, anasema mie nkishajua Basi, so nkiamua kumpa mimba Ni chap sema bado sijafanya final decision
Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa
-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto
-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa
-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha
-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto
N.b mbususu napewa Kama kawaida
Je nipige mimba au nisubiri mtoto wa watu nae apate kazi
Msaada wakuu