Msaada nataka kumzalisha huyu mdada

Msaada nataka kumzalisha huyu mdada

"Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto"

Kwa sababu hizo kwanini Usimuoe sasa,
Huyo Binti anayesoma ka college fulani ana akili kuliko wewe mwenye degree.
Kwahiyo unataka amuoe mtu aliye na akili nyingi kuliko yeye?

#YNWA
 
Kijana wa miaka 29 ni mtu mzima kabisa... Fanya maamuzi acha kutafuta maoni ya watu.

kwenye maelezo yako nimetafuta neno kuoa sijaliona kabisa.

Kama Baba mwenye mtoto wa kike nimefedheheshwa saana.
Mkuu huyu simuachi naoa kabisa
 
Nilitaka nikushauri, ila nilipoona kua unataka mtoto kisa wenzako wengi uliosoma nao wana watoto, nimeyazuia maneno yangu.

Na mwenzio nae 22 anataka miaka miwili zaidi, bado yupo sokini, wewe unataka umtoe sokoni.
Haaaaa
 
Tafuta alie tayari kuzaa kwa sasa zaa nae,huyo kichomi inaonekana akimaliza chuo anaenda kwa mwingine na ameshampata hana time na wewe
Not easy folks, ananipenda Sana mkuu,
 
We akili hakuna kabisa kichwani ni emptyness beaker

Kwa hio ukimpa mimba akazaa ndo akuachi?? Otherwise mnafanana maumbo ila akiwa mzuri kwsha habari yako utatoka na hutamkuta either akuachie mtoto au asepe nae...kajala na pfunk vipi?? Mbna mama analiwa na maisha yanaenda ..onyo nakupa mdogo wangu usiforce kama hataki atakuja sepa na mtoto uanze kulia mwache kama ni kusepa aende bila damu yako
Mmmm
 
"Kinachonifanya nitake mtoto Ni kuwa

-Now nimekua napaswa kuwa na mtoto, wenzangu niliosoma nao Wana watoto

-Wanawake hawaeleweki anaweza pata kazi ukaachwa

-Nampenda ananipenda Sana siwez muacha

-nina ugonjwa wa pressure unanisumbua Sana naogopa nisije kufa sijaacha katoto"

Kwa sababu hizo kwanini Usimuoe sasa,
Huyo Binti anayesoma ka college fulani ana akili kuliko wewe mwenye degree.
Mkuu Ni kuoa kabisa sema ilo neno kuoa sijalitaja
 
Mimi sishauri mzinzi,
Nilijua unataka kuoa ndo uzae kumbe unataka kuzaa Tu alafu msaidiane Kulea na mtoto wa watu.
Acheni kuharibu MABINTI ZETU.
Hivi wanaume hujiulizi kama ni wewe dada yako wa MIAKA 22 anapigiwa mahesabu kama haya?
Nataka kuoa kabisaaa
 
Sina kazi ninafanya biashara
We mpe mimba utatushukuru badae
 
Acha Ukumbavu najua unachokitaka umzalishe bint wawatu bas
We kama msomi na upo smart kiakili muone kwanza bint alafu ndo umzalishe sio kumzalisha alafu baadae unakuja kumuacha na kumsababishia usingle maza aanze kuangaika na kukosa soko huko Nje
Siwezi muacha uyu mwanamke mkuu
 
Kijana wa miaka 29 ni mtu mzima kabisa... Fanya maamuzi acha kutafuta maoni ya watu.

kwenye maelezo yako nimetafuta neno kuoa sijaliona kabisa.

Kama Baba mwenye mtoto wa kike nimefedheheshwa saana.

Kwanini hutaki kumuoa???, vijana mna roho za kuzimu nyie, yani unataka kumzalisha halafu akaolewe na nani sasa

Watu hamchoki uasherati

Mimi sishauri mzinzi,
Nilijua unataka kuoa ndo uzae kumbe unataka kuzaa Tu alafu msaidiane Kulea na mtoto wa watu.
Acheni kuharibu MABINTI ZETU.
Hivi wanaume hujiulizi kama ni wewe dada yako wa MIAKA 22 anapigiwa mahesabu kama haya?

Unataka kutengeneza masingo maza,si umuoe tu yaishe.

Acha Ukumbavu najua unachokitaka umzalishe bint wawatu bas
We kama msomi na upo smart kiakili muone kwanza bint alafu ndo umzalishe sio kumzalisha alafu baadae unakuja kumuacha na kumsababishia usingle maza aanze kuangaika na kukosa soko huko Nje

Unataka kumzalisha, hauna ata mpango wa kumuoa, mawazo ya kipumbavu kwa ujana na umri ulionao, akishazaa unamuita singo maza, matunzo ya mtoto usimpe ndo maana mnarogwa mnaokota makopo

Wotee niliowa-tag NJOONI HAPAA...

Mnataka mwenzenu aoe ili agundue nini?😳😳😳😳

Sikia kijana mwenzangu Boeing787-8 binafsi Nina Miaka 32 na SINA HABARI, SINA MPANGO na wala SIHITAJI KUOA.

Nione ili iweje, KWA DUNIA HII KUNA SABABU YOYOTEE YA KUOA?

Hawa waliokwambia UOE, yaani tungeweza kuweka camera kwenye nyumba zao tuone wanayopitia kwenye ndoa zao nadhani UNGEWAONEA HURUMA na kuwaandalia harambee ya kuwakomboa.

Bahari Boeng umenunuliwa na Magu kwa bei kubwa sanaa kutoka nchi kubwa sanaa duniani, sasa sikia nakwambia hivi HAKUNA KUOA, HAKUNA KUOA.

Mzee baba kali linux am signing out.

KUOA KUOA, KUOA MY FOOT..!!!
😏😏😏😏😏😏😏😏
😡😡😡😡😡😡😡😡
😠😠😠😠😠😠😠😠

Any way... YANGA BINGWA.

#YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom