MSAADA, Nataka KUJIUA

Mheshimiwa na ni Biblia hiyo hiyo iliyosema "samehe saba mara sabini kwa siku, na ni Biblia hiyo hiyo iliyosema "akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kulia. Akulazimishaye kutembea maili moja nenda naye mbili. Akunyang'anyae kanzu mpe na joho pia".
 
Last edited by a moderator:

Du!
Ngoja nijinoe na huku,sijazoea mkuu grafani11,I always call spade a spade and not a spoon.
"Matusi" ninini?
 
Last edited by a moderator:
Du!
Ngoja nijinoe na huku,sijazoea mkuu grafani11,I always call spade a spade and not a spoon.
"Matusi" ninini?
Yesu Kristo Mesiah alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Last edited by a moderator:

asante kwa updates, wanasema and l agree with them "the devil is the author of all evil in this world" so ni safer kukimbilia kwa "authority wa mambo mema na mazuri siku zote".
Ubaki na amani ya Mwenyezi Mungu.
 
Kwa wasifu wa Jina lako sikutegemea kama "ungeBWABWAJA" kiasi hiki! au nawe unamanage stress zako humu??!


 
Ubarikiwe sana kwa kugundua kuwa ni mapepo na yameshindwa
 
Du!
Ngoja nijinoe na huku,sijazoea mkuu grafani11,I always call spade a spade and not a spoon.
"Matusi" ninini?
Mkuu hivi majuzi niliposikia lile tukio la daktari aliyejunyongea gesti kule moro, nikawa naogopa, na kujiuliza asije kuwa ushauri wote tuliotoa humu haukufanya kazi!!! Nafurahi kwamba upo gado...
 
tokaaaaaaaaaa pepo mchafu tokaaaaaaa kuanzia sasa baaada tu ya sala hii fupi nenda kwa aman ukalebata Jesus amekponya AMEN
 
Kama umeshawaona wana saikolojia na watumish wa mungu mbalimbali ila bado hali iko pale pale we chagua uamuzi sahihi utakaokuweka huru,kama umeamua kabisa kujiua kutoka moyoni basi fanya hivyo maana umeona hilo ndo jibu la matatizo yako,rest in.peace
 

Wewe jiue tu kwani una faida gani duniani?
 
nenda kwa wanasaikolojia wakushauri kwa sababu wakati huu ndio unahitaji sana ushauri kuliko wakati ule wa nyuma pia omba sana mwenyezi mungu kwani atakusaidia biblia inasema mungu ni kimbilio letu sote na nguvu kuu hutoka kwake.
 
Pole sana na karibu tena duniani, enjoy maisha yako ukimtumainia Mungu siku zote.:clap2:
 
umefikia wapi? umeshajiua au unasubiri Idd iishe?
Nalog off
 
wewe inabidi ugongwe na kibajaji ili usife nakuambia hutarudia tena kwa mshtuko utakao pata
 
"sintakufa bali nitaishi nami nitayasimulia matendo makuu ya Mungu" haya kiri sasa na umshukuru Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…