steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Habari wakubwa naitwa steven ni kijana wa miaka 25 nipo Songea ni muhitimu wa fani ya welding and metal fabrication mwaka 2019 nia yangu natamani fungue na nisajiri kampuni yangu ya utengenezaji na uuzaji wa furniture za chuma hapa Songea.
Ila changamoto sijui wapi naanzia natamani nifahamu vigezo na masharti ya kumiliki kampuni pia gharama za usajiri na changamoto zake mtaji wangu ni mdgo ila nataman nifikie malengo yangu.
NAOMBA MSAADA KUPATA UFAFANUZI
Ila changamoto sijui wapi naanzia natamani nifahamu vigezo na masharti ya kumiliki kampuni pia gharama za usajiri na changamoto zake mtaji wangu ni mdgo ila nataman nifikie malengo yangu.
NAOMBA MSAADA KUPATA UFAFANUZI