Msaada: Nataka kuezeka nyumba hii

Msaada: Nataka kuezeka nyumba hii

Mbao nyingi zinazouzwa ambazo ni treated tayari huwa wanatumia dawa feki. Nakushauri fanya hivi
1. Kama inawezekana nakushauri nunua mbao zako zinazohitajika,
2. nunua dawa zifanyie treatment wewe mwenyewe (weka vijana wafanye kazi huku unasimamia hata nao wanaweza kukuibia dawa au hizi mbao).

Pia kuhusu makadirio ya bati na mbao tafuta fundi mzuri akupigie hayo mahesabu.
NB:
Hakikisha manunuzi ya kila kitu unayafanya mwenyewe usimpe hela mtu akusaidie.
USIMAMIZI WAKO UKIWA MZURI hela yaweza kutosha au kupelea kidogo tu ila kwa bati la kawaida (gauge 28)

Wazo zuri hilo hasa kwenye suala la mbao, thanks
 
kwa mwonekano wa nyumba kwa makadirio ina upana wa kama 30ft na urefu kama 50ft. Bati ya 28 gauge na mbao treated 4m inaisha, atafute pesa ya fundi.

Hivi inaweza kula bati kiasi hapo mkuu? naona una aidea kidogo.....
 
Mkuu JF ni sehemu ya kupeana ujuzi na uzoefu hiyo pesa 4.2m ni nyingi sana na chenji inabaki,tafuta mbao za minazi na utafute mtu wa kukata mbao za mnazi kwa nyumba hiyo minazi 16 inatosha zunguka sehemu mbali mbali hapa dsm ukikuta wanaangusha mnazi waombe huo mnazi,kukata kwa mashine mnazi mmoja kuchonga mbao ni sh 4000 kwahiyo gharama za mbao za minazi 64,000/= Kuna wengine wanauza mnazi kwa 10,000 wengine hawauzi ukikuta wameukata wanatoa bure so tuassume total 220,000/=plus usafiri 80,000/= Nunua bati za ALAF zile ngumu za 20,000/= kwahiyo nyumba yako nlivyoangalia zinaingia kama 60 tuassume 80 kwa design yeyote(Total 1.6m) kuna mafundi wazuri sana wa bei rahisi design yeyote ya paa na ufundi kujenga wanafanya kwa 600k) mpaka sasa tushatumia 2.5m tuweke 100k ya usafiri 2.6m! Hapo utabidi uongeze matofali kama 100 kwa ajili ya kuzungusha juu,utahitaji waya kwa ajili ya kushikia fenzi tuassume makolokolo yote hayo laki4 pamoja na kununua ndoo za rangi kwa ajili ya kupaka hayo mabati yalete muonekano mzuri ila rangi ya bati uipake baada ya miezi kama miwili hivi baada ya kuzijengea then 1.2m inabaki kwa mambo mengine humu JF kuna wengine wanakatisha tamaa na bei za ajabu ajabu! Mbao ya mnazi ni miaka 100 hailiwi na mdudu yeyote! Na ndio maana kitanda cha mbao ya mnazi bei yake haishikiki 77 walikuwa wanauza 1.2m

Asante King, kweli jamii forums ni jumba la maarifa...., ila ishu ya kuanza kutafuta minazi iliyoanguka ni ishu kubwa. Ngoja niulize wazoefu hapa kitaaa......., Asante kwa ushauri mzuri sana
 
Nakushari kwanza Badilisha Avatar,unaitwa NJAA?
Kuna majina mengine mungu hupenda kuyapa yanachokiamini.
Sasa kama upepo utapitia kwako,basi umaskini hadi unaingia kaburini.
Ni mtizamo wangu tu huo,ndio maana maandiko yanasema,wapeni watoto wenu majina mazuri.
Humu kuna ujumbe wa mungu ndani yake.

Tukija kwenye issue ya kuezeka.
Kwanza nakupongeza kwa kuzichanga,maana nikiiangalia nyumba itakuwa ilisimama si chini ya miaka miwili.
Nimependa sana ulivyokuwa makini katika ujenzi wa madirisha makubwa,nime Appreciate sana hilo.
Halafu kuwa makini sana na hao wanajeshi,naungana na jamaa hapo juu,wengi siku hizi nao wasanii maana wanajua watu wanawakimbilia wao,labda ukifanikiwa kupata jeshi wa kike.Ungekuwa huku Znz ningekuunganishia mdada mmoja.
Pili,kuna watu humu wameanza Pms nyingi,pia kuwa makini,Maana wewe umeomba tu ushauri na sio mambo ya Pm,huko watakuletea usanii pia,maana humu namo matapeli wamo kibaoo.

Ushauri wa Kingkong:-
Mnazi watu wanaudharau sana,lakini ni mbao zinadumu kwa muda mrefu sana.
Kwa watu wa mikoa ya pwani ikiwemo Zanzibar wanaijua Minazi ilivyo.Thamani nyingi sana za majumba zimetengenezwa kwa minazi.Na hata mahoteli ya Coast hapa ukitembelea bado mnazi umesanifiwa kwa hali ya juu sana huwezi kuamini kama ni mnazi.
Fanya uwezavyo ili uweke gharama chini,then ukitaka anasa utafanya wakati mwingine.Jiji hilo kupanga ni kama jela.Ikikaribia muda wa kulipa kodi mtu unakonda.
Huku Zanzibar kuna watu wengi sana kwa kukataa adha hiyo wamejenga nyumba nusu,kisha mtu anahamia na anaimalizia yumohumohumo ndani,na mtu akikuambia alihamia ikiwa nusu huwezi kuamini kwa jinsi ilivyo bomba.
Mbao treated ni uzushi tu,mie hapa ninapoishi fundi alisema ni treated,ila yale madudu baada ya miezi sita tu yalianza kula mbao kama wazim,kuna jamaa ndio akanipa dawa ya kupata,ila ni msiri wala hakuniambia ni nini,mie alinipa tu,maana ni mtu wa mitishamba,ila ilikuwa kama mti fulani aliusaga na kuuloweka kama wiki kisha akaniambia paka,basi hata sisimizi hasogelei.



Mie pia ni miongoni mwa wanaoamini kwamba zinatosha,cha msingi tumia basic roof set up itakusaidia,ila kama unataka anasa kwa kuweka paa na bati za kisasa hiyo utaishia njiani.Fuata ushauri wa fundi na sio wewe kufanya kujua kuliko yeye.
Ushauri kwa wana Jf:Kila mwenye familia ajaribu kujitolea kumsomesha ndugu yake yoyote VETA au sehem yoyote ya ufundi wa aina yoyote.Au hata kumsomesha Kijana unaemuona mtaani anakipaji cha ufundi hata kama sio ndugu yako nahana uwezo..
Mie wakati na jenga chanika sikupata shida,maana Fundi wa Nyumba ni Mjomba wangu,so hapa nilisave sana,na kuezeka ni mwanae,hapa pia nilisave sana gharama.Umeme alinifanyia Collegemate mwenzangu.
Yaani kuna vitu vingi sana Familia lazima iwe navyo katika miomboni kwa members.
Mfano wa Pili ni Upande wa Biashara yangu ya Carry,nikwamba Drivers wawili ni ndugu zangu yaani upande Mama yangu Mdogo,na pia kwanza walianzia kupitia Gerage miaka kibao,kwahiyo hapo sina gharama ya Fundi na gari zinatuzwa vizuri sana.Na ndio maana inanipa hamasa pia nihamishe mmoja kwenye Daladala nikiipata.


Wife pia taalum yake ni kushona,na pia nilimpeleka kozi za kutengeneza Udi,Sabuni,Ice Cream,mwezi ujao nampeleka Sido kujifundisha Kusingika asali ambapo ndio up comming project yetu.
Mtu kujifunza sio lazima ufanye kazi hiyo,ila ujuzi kuwa nao ni muhim sana.Maana huwezi amini mie Wife ni Standard Seven tu lakini she kwows much kuliko mie.Na baadhi ya vitu inabidi nipigwe shule.Please wenzangu naomba tusidharau hivi vikozi vidogo na kuona kama ni vya watu wa elim za chini,nyingi ni muhim sana na huko ipo njia ya mafanikio katika famila zetu.

Ni mtizamo wangu tu,kuna vitu vingi tunaingia gharama kubwa sana bila sababu ya msingi.
 
Achana na treated utaingia gharama zisizo za lazima, nunua za kawaida tu halafu zikiisha jengewa juu then nunua diesel zipake, utakuwa umeokoa gharama kubwa sana na pia ni uhakika, hakuna mdudu atasogea.

Bati nunua za kawaida gauge 28 nadhan zinauzwa kati ya 15,000 na 20,000.

Usi complicate chochote maana unaweza kushindwa kumaliza, na pia ezeka muezeko ambao hautatumia material nyingi, mafundi wanajua.

Kaa na fundi mjadiri gharama na material zote kabla ya kuanza ili usiishie njiani.

Hongera sana kwa hiyo hatua na nakutakia kila la heri.

nice talks
 
Sijuhi unaweka mbao za aina gani, namaanisha za kenchi, kama ni zile treated, hiyo pesa ni ndogo
Na ni vizuri zaidi akatumia mbao hizo kwa afya ya kudumu ya paa lake. Vinginevyo kwa M. 4 ukijumlisha na gharama za ufundi bado iko chini kidogo....
 
Mbao nyingi zinazouzwa ambazo ni treated tayari huwa wanatumia dawa feki. Nakushauri fanya hivi
1. Kama inawezekana nakushauri nunua mbao zako zinazohitajika,
2. nunua dawa zifanyie treatment wewe mwenyewe (weka vijana wafanye kazi huku unasimamia hata nao wanaweza kukuibia dawa au hizi mbao).

Pia kuhusu makadirio ya bati na mbao tafuta fundi mzuri akupigie hayo mahesabu.
NB:
Hakikisha manunuzi ya kila kitu unayafanya mwenyewe usimpe hela mtu akusaidie.
USIMAMIZI WAKO UKIWA MZURI hela yaweza kutosha au kupelea kidogo tu ila kwa bati la kawaida (gauge 28)
Wazo lako ni zuri sana, ila nadhani ingependeza zaidi kama ungemuunganisha na huyo fundi mwenye gharama nafuu....
 
Mkuu JF ni sehemu ya kupeana ujuzi na uzoefu hiyo pesa 4.2m ni nyingi sana na chenji inabaki,tafuta mbao za minazi na utafute mtu wa kukata mbao za mnazi kwa nyumba hiyo minazi 16 inatosha zunguka sehemu mbali mbali hapa dsm ukikuta wanaangusha mnazi waombe huo mnazi,kukata kwa mashine mnazi mmoja kuchonga mbao ni sh 4000 kwahiyo gharama za mbao za minazi 64,000/= Kuna wengine wanauza mnazi kwa 10,000 wengine hawauzi ukikuta wameukata wanatoa bure so tuassume total 220,000/=plus usafiri 80,000/= Nunua bati za ALAF zile ngumu za 20,000/= kwahiyo nyumba yako nlivyoangalia zinaingia kama 60 tuassume 80 kwa design yeyote(Total 1.6m) kuna mafundi wazuri sana wa bei rahisi design yeyote ya paa na ufundi kujenga wanafanya kwa 600k) mpaka sasa tushatumia 2.5m tuweke 100k ya usafiri 2.6m! Hapo utabidi uongeze matofali kama 100 kwa ajili ya kuzungusha juu,utahitaji waya kwa ajili ya kushikia fenzi tuassume makolokolo yote hayo laki4 pamoja na kununua ndoo za rangi kwa ajili ya kupaka hayo mabati yalete muonekano mzuri ila rangi ya bati uipake baada ya miezi kama miwili hivi baada ya kuzijengea then 1.2m inabaki kwa mambo mengine humu JF kuna wengine wanakatisha tamaa na bei za ajabu ajabu! Mbao ya mnazi ni miaka 100 hailiwi na mdudu yeyote! Na ndio maana kitanda cha mbao ya mnazi bei yake haishikiki 77 walikuwa wanauza 1.2m
Wazo zuri sana.ila nadhani ungemuunganisha na huyo fundi mwenye gharama nafuu kidogo ungemsaidia sana mwenzetu mleta uzi.
 
Nakushari kwanza Badilisha Avatar,unaitwa NJAA?
Kuna majina mengine mungu hupenda kuyapa yanachokiamini.
Sasa kama upepo utapitia kwako,basi umaskini hadi unaingia kaburini.
Ni mtizamo wangu tu huo,ndio maana maandiko yanasema,wapeni watoto wenu majina mazuri.
Humu kuna ujumbe wa mungu ndani yake.

Tukija kwenye issue ya kuezeka.
Kwanza nakupongeza kwa kuzichanga,maana nikiiangalia nyumba itakuwa ilisimama si chini ya miaka miwili.
Nimependa sana ulivyokuwa makini katika ujenzi wa madirisha makubwa,nime Appreciate sana hilo.
Halafu kuwa makini sana na hao wanajeshi,naungana na jamaa hapo juu,wengi siku hizi nao wasanii maana wanajua watu wanawakimbilia wao,labda ukifanikiwa kupata jeshi wa kike.Ungekuwa huku Znz ningekuunganishia mdada mmoja.
Pili,kuna watu humu wameanza Pms nyingi,pia kuwa makini,Maana wewe umeomba tu ushauri na sio mambo ya Pm,huko watakuletea usanii pia,maana humu namo matapeli wamo kibaoo.

Ushauri wa Kingkong:-
Mnazi watu wanaudharau sana,lakini ni mbao zinadumu kwa muda mrefu sana.
Kwa watu wa mikoa ya pwani ikiwemo Zanzibar wanaijua Minazi ilivyo.Thamani nyingi sana za majumba zimetengenezwa kwa minazi.Na hata mahoteli ya Coast hapa ukitembelea bado mnazi umesanifiwa kwa hali ya juu sana huwezi kuamini kama ni mnazi.
Fanya uwezavyo ili uweke gharama chini,then ukitaka anasa utafanya wakati mwingine.Jiji hilo kupanga ni kama jela.Ikikaribia muda wa kulipa kodi mtu unakonda.
Huku Zanzibar kuna watu wengi sana kwa kukataa adha hiyo wamejenga nyumba nusu,kisha mtu anahamia na anaimalizia yumohumohumo ndani,na mtu akikuambia alihamia ikiwa nusu huwezi kuamini kwa jinsi ilivyo bomba.
Mbao treated ni uzushi tu,mie hapa ninapoishi fundi alisema ni treated,ila yale madudu baada ya miezi sita tu yalianza kula mbao kama wazim,kuna jamaa ndio akanipa dawa ya kupata,ila ni msiri wala hakuniambia ni nini,mie alinipa tu,maana ni mtu wa mitishamba,ila ilikuwa kama mti fulani aliusaga na kuuloweka kama wiki kisha akaniambia paka,basi hata sisimizi hasogelei.



Mie pia ni miongoni mwa wanaoamini kwamba zinatosha,cha msingi tumia basic roof set up itakusaidia,ila kama unataka anasa kwa kuweka paa na bati za kisasa hiyo utaishia njiani.Fuata ushauri wa fundi na sio wewe kufanya kujua kuliko yeye.
Ushauri kwa wana Jf:Kila mwenye familia ajaribu kujitolea kumsomesha ndugu yake yoyote VETA au sehem yoyote ya ufundi wa aina yoyote.Au hata kumsomesha Kijana unaemuona mtaani anakipaji cha ufundi hata kama sio ndugu yako nahana uwezo..
Mie wakati na jenga chanika sikupata shida,maana Fundi wa Nyumba ni Mjomba wangu,so hapa nilisave sana,na kuezeka ni mwanae,hapa pia nilisave sana gharama.Umeme alinifanyia Collegemate mwenzangu.
Yaani kuna vitu vingi sana Familia lazima iwe navyo katika miomboni kwa members.
Mfano wa Pili ni Upande wa Biashara yangu ya Carry,nikwamba Drivers wawili ni ndugu zangu yaani upande Mama yangu Mdogo,na pia kwanza walianzia kupitia Gerage miaka kibao,kwahiyo hapo sina gharama ya Fundi na gari zinatuzwa vizuri sana.Na ndio maana inanipa hamasa pia nihamishe mmoja kwenye Daladala nikiipata.


Wife pia taalum yake ni kushona,na pia nilimpeleka kozi za kutengeneza Udi,Sabuni,Ice Cream,mwezi ujao nampeleka Sido kujifundisha Kusingika asali ambapo ndio up comming project yetu.
Mtu kujifunza sio lazima ufanye kazi hiyo,ila ujuzi kuwa nao ni muhim sana.Maana huwezi amini mie Wife ni Standard Seven tu lakini she kwows much kuliko mie.Na baadhi ya vitu inabidi nipigwe shule.Please wenzangu naomba tusidharau hivi vikozi vidogo na kuona kama ni vya watu wa elim za chini,nyingi ni muhim sana na huko ipo njia ya mafanikio katika famila zetu.

Ni mtizamo wangu tu,kuna vitu vingi tunaingia gharama kubwa sana bila sababu ya msingi.

probably the best message of day
 
Si kuna mdau alisema usinunue mbao treated nunua kawaida then nunua oil nadhain vijana wapake maana treated nyingi ni fake.Alafu uende na futi yako huko kununua mbao.Kuhusu mabati ya jeshini ni ya kawaida tu ya msouth ila ukipata kwa jeshi bei inakuwa pungufu sana.tafuta mjeda unayemjua akusaidie.hongera.

Mkuu nakukubali..mbao za treated nyingi ni fake..jirani yangu saivi anaalamika...paa la nyumba yake linazidi kwisha..mbao alinunua baguruni jamaa wamempa fake..mbaya zaidi ameweka bati kama vigae..ni issue kubwa
 
Nakushari kwanza Badilisha Avatar,unaitwa NJAA?
Kuna majina mengine mungu hupenda kuyapa yanachokiamini.
Sasa kama upepo utapitia kwako,basi umaskini hadi unaingia kaburini.
Ni mtizamo wangu tu huo,ndio maana maandiko yanasema,wapeni watoto wenu majina mazuri.
Humu kuna ujumbe wa mungu ndani yake.

Tukija kwenye issue ya kuezeka.
Kwanza nakupongeza kwa kuzichanga,maana nikiiangalia nyumba itakuwa ilisimama si chini ya miaka miwili.
Nimependa sana ulivyokuwa makini katika ujenzi wa madirisha makubwa,nime Appreciate sana hilo.
Halafu kuwa makini sana na hao wanajeshi,naungana na jamaa hapo juu,wengi siku hizi nao wasanii maana wanajua watu wanawakimbilia wao,labda ukifanikiwa kupata jeshi wa kike.Ungekuwa huku Znz ningekuunganishia mdada mmoja.
Pili,kuna watu humu wameanza Pms nyingi,pia kuwa makini,Maana wewe umeomba tu ushauri na sio mambo ya Pm,huko watakuletea usanii pia,maana humu namo matapeli wamo kibaoo.

Ushauri wa Kingkong:-
Mnazi watu wanaudharau sana,lakini ni mbao zinadumu kwa muda mrefu sana.
Kwa watu wa mikoa ya pwani ikiwemo Zanzibar wanaijua Minazi ilivyo.Thamani nyingi sana za majumba zimetengenezwa kwa minazi.Na hata mahoteli ya Coast hapa ukitembelea bado mnazi umesanifiwa kwa hali ya juu sana huwezi kuamini kama ni mnazi.
Fanya uwezavyo ili uweke gharama chini,then ukitaka anasa utafanya wakati mwingine.Jiji hilo kupanga ni kama jela.Ikikaribia muda wa kulipa kodi mtu unakonda.
Huku Zanzibar kuna watu wengi sana kwa kukataa adha hiyo wamejenga nyumba nusu,kisha mtu anahamia na anaimalizia yumohumohumo ndani,na mtu akikuambia alihamia ikiwa nusu huwezi kuamini kwa jinsi ilivyo bomba.
Mbao treated ni uzushi tu,mie hapa ninapoishi fundi alisema ni treated,ila yale madudu baada ya miezi sita tu yalianza kula mbao kama wazim,kuna jamaa ndio akanipa dawa ya kupata,ila ni msiri wala hakuniambia ni nini,mie alinipa tu,maana ni mtu wa mitishamba,ila ilikuwa kama mti fulani aliusaga na kuuloweka kama wiki kisha akaniambia paka,basi hata sisimizi hasogelei.



Mie pia ni miongoni mwa wanaoamini kwamba zinatosha,cha msingi tumia basic roof set up itakusaidia,ila kama unataka anasa kwa kuweka paa na bati za kisasa hiyo utaishia njiani.Fuata ushauri wa fundi na sio wewe kufanya kujua kuliko yeye.
Ushauri kwa wana Jf:Kila mwenye familia ajaribu kujitolea kumsomesha ndugu yake yoyote VETA au sehem yoyote ya ufundi wa aina yoyote.Au hata kumsomesha Kijana unaemuona mtaani anakipaji cha ufundi hata kama sio ndugu yako nahana uwezo..
Mie wakati na jenga chanika sikupata shida,maana Fundi wa Nyumba ni Mjomba wangu,so hapa nilisave sana,na kuezeka ni mwanae,hapa pia nilisave sana gharama.Umeme alinifanyia Collegemate mwenzangu.
Yaani kuna vitu vingi sana Familia lazima iwe navyo katika miomboni kwa members.
Mfano wa Pili ni Upande wa Biashara yangu ya Carry,nikwamba Drivers wawili ni ndugu zangu yaani upande Mama yangu Mdogo,na pia kwanza walianzia kupitia Gerage miaka kibao,kwahiyo hapo sina gharama ya Fundi na gari zinatuzwa vizuri sana.Na ndio maana inanipa hamasa pia nihamishe mmoja kwenye Daladala nikiipata.


Wife pia taalum yake ni kushona,na pia nilimpeleka kozi za kutengeneza Udi,Sabuni,Ice Cream,mwezi ujao nampeleka Sido kujifundisha Kusingika asali ambapo ndio up comming project yetu.
Mtu kujifunza sio lazima ufanye kazi hiyo,ila ujuzi kuwa nao ni muhim sana.Maana huwezi amini mie Wife ni Standard Seven tu lakini she kwows much kuliko mie.Na baadhi ya vitu inabidi nipigwe shule.Please wenzangu naomba tusidharau hivi vikozi vidogo na kuona kama ni vya watu wa elim za chini,nyingi ni muhim sana na huko ipo njia ya mafanikio katika famila zetu.

Ni mtizamo wangu tu,kuna vitu vingi tunaingia gharama kubwa sana bila sababu ya msingi.

Asante mwanajamvi, umeeleweka sana, thanks
 
Mkuu design ya paa ni kuona plan au picha zote 4 eevation.ukubwa hapa hauonekani.hata hivyo bati pekee zinaweza kula hela hiyo.
 
Hivi inaweza kula bati kiasi hapo mkuu? naona una aidea kidogo.....

makadirio ya bati yanategemea mchoro na hesabu yake ngumu kwa sisi mafundi mchundo, ngoja nijaribu kukumbuka Veta; kama ina upana wa kuishia bati ni ft 28 king post itakuwa kama 14ft ulalo wa bati utakuwa kama ft 19.8, na urefu wa futi 48; eneo iltakuwa 20x48x2 , idadi ya bati 2x48x2/3 10%=70 hii kwa mgongo wa Tembo.
Nani anajenga mgongo wa Tembo miaka hii!
Kulingana na pendekezo la mchoro bati 110 zinaweza kukupa paa zuri la kupendeza.
 
Nimevutiwa na utaratibu uliotumia kuja hapa JF ili angalau uwe na tahadhari. Aliyekushauri kwenda na kipimio chako unaponunua mbao ni sahihi,kile kipimo chao wanakata katikati.
Kuna jambo lingine nikushauri,utakapopata fundi ni muhimu uone kazi yake kwanza aliyomaliza upime ubora,mafundi wengine ni wasanii anaweza kukuharibia na hutakuwa na jinsi ya kumshtaki na kulipwa. Mimi nimelazimika kupaua upya nyumba niliyoezeka mwaka jana August,mvua za mwaka huu ziliishia ndani kwa kuvuja.
 
Nimevutiwa na utaratibu uliotumia kuja hapa JF ili angalau uwe na tahadhari. Aliyekushauri kwenda na kipimio chako unaponunua mbao ni sahihi,kile kipimo chao wanakata katikati.
Kuna jambo lingine nikushauri,utakapopata fundi ni muhimu uone kazi yake kwanza aliyomaliza upime ubora,mafundi wengine ni wasanii anaweza kukuharibia na hutakuwa na jinsi ya kumshtaki na kulipwa. Mimi nimelazimika kupaua upya nyumba niliyoezeka mwaka jana August,mvua za mwaka huu ziliishia ndani kwa kuvuja.

Daah hiyo noma, pole sana mkuu..., naomba isinitokee...
 
nitumie upana wa nyumba na urefu.tuma kwenye 0787803577
niidesign ktk archcard then nikupe hesabu kamili mkuu.
 
Mkuu unavyoomba ushauri wa design ya hilo paa ina maana hukujenga kwa kutumia ramani? Ramani uliyotumia kujenga si ina roof plan tayari? Pili, hiyo hela kwa uhalisia ni ndogo, ungepata fundi akupigie mahesabu ya bati ngapi zinahitajika ununue kwa hiyo hela then ujichange zaidi hela ya mbao na labour charge
 
Ombi lako halijajitosheleza. hauwezi kukadiria kwa kutazama picha weka vipimo vya urefu na upana. nikupe makadirio. kwa pesa hiyo nunua bati za Simba dumu 30g ni nzuri. bando ni bati 16 sh.235,000
 
Back
Top Bottom