cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Pambana usichoke maana ndo changamoto hizo za hapa na paleMimi yamenikuta na nazidi kupambana nao, Mungu ni mwema yaaan
Pambana usichoke maana ndo changamoto hizo za hapa na paleMimi yamenikuta na nazidi kupambana nao, Mungu ni mwema yaaan
BIMA hulipa endapo mkopaji amefariki, amepata ulemavu kiasi ambacho hawezi tena kufanyakazi na majanga mengine.Kama mkopo wako una bima tembea.....watalpana na bima huko
So.... What happened at the end of the day??Mkuu yaani wewe na Mimi hatuchekani! Na Mimi Nina mkopo wao wa miaka minne wiki ijayo nawachana 24 hours notice ya kuachana na serikali, nawaachia mafao yangu yasipotosha wanifuate huko ninakohamia!