Msaada: Nataka kuacha kazi ya kuajiriwa na nina mkopo benki niliochukua na kuweka mshahara wangu dhamana

Wewe hutokopesheka kwenye Bank yoyote nchini.
Kwan ni lazma kukopa? Hizi ni akili za woga wa maisha ctakopaje nkiwa na hati ya nyumba au dhamana isiyohamishika? Hata hivyo watakata pension fund
 
  • Thanks
Reactions: amu
Maamuzi Bora kabisa,ili hata siku ukiondoka,watoto wako wanacho Cha kuendelea...lakini ujiandae kisaikolojia huku mtaani ni vita.ni kazi bampa to bampa.....hao benki Sasa sijui itakuaje
 
Kwan ni lazma kukopa? Hizi ni akili za woga wa maisha ctakopaje nkiwa na hati ya nyumba au dhamana isiyohamishika? Hata hivyo watakata pension fund
Kukopa si lazima boss.
Wewe ulishakimbia na mkopo wa watu.
Hukutaka kukaa nao mezani mfikie muafaka.

Walikutafuta ukaingia mitini.

Kuna kitu kinaitwa CRB wakiingiza jina lako wanakukuta huko umedefault.

Hakuna Bank itakayokuamini tena kukopesheka.

Kingine kuwa na nyumba na dhamana isiyohamishika si kigezo cha kukopa kigezo kikubwa ni uwezo wako wa kulipa mkopo, nyumba hailipi mkopo.
Kwa kuwa hujaajiriwa umejiajiri inabidi uwe na reliable source of income, bank statement n. K.

Hakuna bank itakuamini kama ulikopea mshahara bank fulani ukasepa na kuingia mitini.
 
Wasalaam waugwana.

Mimi ni mwajiriwa serikalini. Kama miezi 6 iliyopita nilichukua mkopo kwenye benki mojawapo hapa nchini na dhamana ilikuwa ni mshahara wangu.

Kutokana na sababu fulani fulani, nataka kuacha kazi na nifanye mambo yangu binafsi. Ninaweza kuwa nalipa benk kiasi kilekile wanachokata kwa mwezi lakini sio kwa kutegemea mshahara tena.

Je, natakiwa kufuata utaratibu gani ambao haitaonekana kuwa nataka kuruka mkopo?

KAMA WAACHA KAZI NA UNA INCOME INAYOWEZA LIPA MKOPO WAO KWA MWEZI, MAKE SURE THAT BY END MONTH HELA YAO IPO, KAMA HAUNA KIPATO KABISA WHICH MEANS ITACHUKUA MDA KUWALIPA, KWA NINI UACHE KAZI? HUO NI USANII, HELA YA WATU UTALIPAJE?

ALL IN ALL HAWAWEZI KUKUFUNGA, NA MUAJIRIWA WAKO WANAWEZA MFUATILIA KIDOGO, KAMA NI LAZIMA KABISA UACHE KAZI, NA HAUNA NAMNA, WE NYAMAZIA TU HIVYO HIVYO, BAADA YA MWEZI NENDA KATOE TAARIFA BANK, WAAMBIE UNATAFUTA KAZI INGINE!

ILA NDUGU, WAZA SANA KABLA UJAACHA KAZI, KILA MAHALI PANA CHANGAMOTO THE SAME!
 
Mkuu kuna watu wanakushauri vizuri kuna watu wana mihemko kutokana na kukosa kazi muda mrefu. Mimi nimekuelewa vizuri after 15 years of public service unaona kabisaaa hakuna unachofanya, it's okay to quit uanze na mradi wako au kuendeleza mradi wako as long as unapata uhuru na furaha.
Kuhusu mkopo bank ebu achana nao kawaida mtumishi serikalini unakuwa considered pensionable kama utafanya kazi for 15 years straight hapo unaweza omba mafao not less than that. Mkuu bank watalipwa either na bima ya mkopo au ela yako ya pensheni ya miaka 15, go do your thing achia vijana nafasi hiyo.
 
KAMA WAACHA KAZI NA UNA INCOME INAYOWEZA LIPA MKOPO WAO KWA MWEZI, MAKE SURE THAT BY END MONTH HELA YAO IPO, KAMA HAUNA KIPATO KABISA WHICH MEANS ITACHUKUA MDA KUWALIPA, KWA NINI UACHE KAZI? HUO NI USANII, HELA YA WATU UTALIPAJE?

ALL IN ALL HAWAWEZI KUKUFUNGA, NA MUAJIRIWA WAKO WANAWEZA MFUATILIA KIDOGO, KAMA NI LAZIMA KABISA UACHE KAZI, NA HAUNA NAMNA, WE NYAMAZIA TU HIVYO HIVYO, BAADA YA MWEZI NENDA KATOE TAARIFA BANK, WAAMBIE UNATAFUTA KAZI INGINE!

ILA NDUGU, WAZA SANA KABLA UJAACHA KAZI, KILA MAHALI PANA CHANGAMOTO THE SAME!
Uzi wa 2018 itakua kashamaliza mkopo...
 
Kukopa si lazima boss.
Wewe ulishakimbia na mkopo wa watu.
Hukutaka kukaa nao mezani mfikie muafaka.

Walikutafuta ukaingia mitini.

Kuna kitu kinaitwa CRB wakiingiza jina lako wanakukuta huko umedefault.

Hakuna Bank itakayokuamini tena kukopesheka.

Kingine kuwa na nyumba na dhamana isiyohamishika si kigezo cha kukopa kigezo kikubwa ni uwezo wako wa kulipa mkopo, nyumba hailipi mkopo.
Kwa kuwa hujaajiriwa umejiajiri inabidi uwe na reliable source of income, bank statement n. K.

Hakuna bank itakuamini kama ulikopea mshahara bank fulani ukasepa na kuingia mitini.
We bado una akili za chuo sio kwa nchi yetu ya Tanzania trust me or not hakuna mwenye muda huo wa kufuatilia unadaiwa au hudaiwi
 
  • Thanks
Reactions: amu
wenzako wanatafuta kazi alafu ww unaacha kazi... ushauri wangu usiache fanya kazi huku unapiga mishe zako zingine..

kazi ya serikali ni security tosha if know what i mean

hizi semina za hawa motivational speakers zinawaponza sana watu daaaah
Ni kwamba qnet imeshakula kichwa cha mtu hapo. Nipo kazin na jamaa wa qnet, walisema wanaacha kazi mwaka jana mwezi wa nane, ila bado tunao kazini hadi kesho sijui bado shimo halijatema?????😂😂😂😂😂
 
Ndo ukwel haina maana unafanya kazi tena kwa juhudi na maarifa but your not happy

Umezungukwa na mijitu ukiperform inakalia kukusema vibaya na kukununia ,kisa umeyazid uwezo,so kipi bora? Nipretend kuwa lever zao afunipoteze ndoto zangu?
Si bora tuyaachie ofic zao yajiachie tu
If you good you good

Halafu Huwezi kunipurnish Mimi eti kisa naperform,we were born to fight and win
Watu wengine hawajui manyanyaso ya ofisini, we acha tu
 
Kukopa si lazima boss.
Wewe ulishakimbia na mkopo wa watu.
Hukutaka kukaa nao mezani mfikie muafaka.

Walikutafuta ukaingia mitini.

Kuna kitu kinaitwa CRB wakiingiza jina lako wanakukuta huko umedefault.

Hakuna Bank itakayokuamini tena kukopesheka.

Kingine kuwa na nyumba na dhamana isiyohamishika si kigezo cha kukopa kigezo kikubwa ni uwezo wako wa kulipa mkopo, nyumba hailipi mkopo.
Kwa kuwa hujaajiriwa umejiajiri inabidi uwe na reliable source of income, bank statement n. K.

Hakuna bank itakuamini kama ulikopea mshahara bank fulani ukasepa na kuingia mitini.
Hajui haya huyu?
 
Usiombe cariha

Ukipata promotion, scholarship ni full vita yaan

Ila inabidi uwe vry strong sana daah
Ni changamoto kweli kweli watu wanaweza kuku mind kuanzia uvaaji wako,kisa umewazidi maybe elimu na wao wazoefu lazima watafte kikosa tu kuua confidence yako, maisha ni changamoto daily yanaibuka mapya
 
Biashara gani mbaya sema hauna mtaji, au umeng'ang'ania biashara moja, mbona hatujaona wafanyabiashara wote wamefunga baishara zao
Hawajafumga Ila Hali si sawa unaweza kuwa na mtaji Ila uzoefu huna na kufanya lobbying za hapa na pale
 
Ni changamoto kweli kweli watu wanaweza kuku mind kuanzia uvaaji wako,kisa umewazidi maybe elimu na wao wazoefu lazima watafte kikosa tu kuua confidence yako, maisha ni changamoto daily yanaibuka mapya
Mimi yamenikuta na nazidi kupambana nao, Mungu ni mwema yaaan
 
Back
Top Bottom