Msaada: Nataka kuacha kazi ya kuajiriwa na nina mkopo benki niliochukua na kuweka mshahara wangu dhamana

Mkuu aksante kwa ushauri wako. Kimsingi nimeshafanya maamuzi ninachouliza hapa ni safe exit bila kukwaruzana na taasisi za fedha wanaonidai.
Nimefanya kazi serikalini miaka 15 sasa hivyo naelewa ninachofanya. Unfortunately sijawahi kuhudhuria kwenye hizo semina kiongozi.

the seminar part was just a joke :D:D:D

now umesema umefanya kwa miaka 15 ww upo kwenye pension kwahiyo ukiacha kazi sikuna haki yako unapata? kama ndivyo wala usijali bank watachukua chao juu kwa juu kutoka kwenye hiyo stahiki yako
 
Hakuna wakati muafaka. Akitaka kuacha kazi anaacha muda wowote na wakati wowote. Hakuna perfect timing.

Hakuna kitakachozuia wala kuingilia mchakato wake wa kuacha kazi nje ya yeye mwenyewe. Hakuna cha timing wala nini.

Bado hujajenga hoja inayoeleweka.

Ahsante mkubwa
 
Upo sahihi Boss hasa kama kazi lenyewe ni Ualimu bora ukimbie mana me nilikaa miaka 8 huko nikaacha na mpk mda huu cjajuta pia nilikua na mkopo kama ww walijaribu kunisumbua, wakanipa barua nijieleze ntalipaje ila bht nzuri tunalipana taratibu tuuu kwa kile ninachoweza kulipa nje ya makubaliano yale ya dhamana ya mshahara
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Tafuta dhamana wakabidhi benk,ukimaliza mkopo utaichukua dhamana yako.
 
Write your reply...aisee kweli hapa duniani kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake! natafuta kazi mwaka wa tatu huu,bado nahangaika tu!!
Fanya vingine pia wakati unasubiria Kazi.Maana ni Kazi kupata Kazi,na ukiipata si Kazi tena haina thamani tena watamani kuicha,na ukiiacha ni ngumu kupata Kazi.
 
wenzako wanatafuta kazi alafu ww unaacha kazi... ushauri wangu usiache fanya kazi huku unapiga mishe zako zingine..

kazi ya serikali ni security tosha if know what i mean

hizi semina za hawa motivational speakers zinawaponza sana watu daaaah
Ni mtazamo tu maisha popote kutoka hakuna formula,
 
Just resign, sidhani kama mwajiri atakuzuia eti kwasababu unao mkopo but one thing; riba kwa Tanzania zipo juu sana kulinganisha na nchi nyingi including za Kiafrika; one of the reason ya rate zetu kua kubwa ni hi ya Wabongo wengi kuchukua mikopo halafu hatulipi hence bankers wanao kama kumkopesha mfanyakazi that is an secured loan and the the rate charge should be high, kwa maana nyingine, waaminifu wachache wawalipie hadi wasio waaminifu so please, jitahidi kulipa mkopo huo ili riba zipungue tafadhari
 
Wasalaam waugwana.
Mimi ni mwajiriwa serikalini. Kama miezi 6 iliyopita nilichukua mkopo kwenye benki mojawapo hapa nchini na dhamana ilikuwa ni mshahara wangu.
Kutokana na sababu fulani fulani, nataka kuacha kazi na nifanye mambo yangu binafsi. Ninaweza kuwa nalipa benk kiasi kilekile wanachokata kwa mwezi lakini sio kwa kutegemea mshahara tena.
Je, natakiwa kufuata utaratibu gani ambao haitaonekana kuwa nataka kuruka mkopo?
Mkuu yaani wewe na Mimi hatuchekani! Na Mimi Nina mkopo wao wa miaka minne wiki ijayo nawachana 24 hours notice ya kuachana na serikali, nawaachia mafao yangu yasipotosha wanifuate huko ninakohamia!
 
Last edited:
wenzako wanatafuta kazi alafu ww unaacha kazi... ushauri wangu usiache fanya kazi huku unapiga mishe zako zingine..

kazi ya serikali ni security tosha if know what i mean

hizi semina za hawa motivational speakers zinawaponza sana watu daaaah
Naomba unifahamishe maana ya hiyo kauli ya mistari miwili ya mwisho mkuu
 
Naomba unifahamishe maana ya hiyo kauli ya mistari miwili ya mwisho mkuu

motivational speakers wengi wanahubiri mambo katika wepesi ambao ni tofauti ya 85% ya ukweli wa mambo na hali halisi ilivyo..

na wanawapoteza watu wengi sana kwan wengi baada ya kuhudhuria hizo semina kwa wingi wamejikuta wanafanya maamuzi kwa wepesi ule walioaminishwa na kuja kujuta kwan in reality mambo yapo vingine kabisa

(haihusiana na tatizo la mleta mada)
 
Last edited:
[QUOTE="Mazindu Msambule, post: 27769697, membkwa maana nyingine, waaminifu wachache wawalipie hadi wasio waaminifu so please, jitahidi kulipa mkopo huo ili riba zipungue tafadhari[/QUOTE]
Hahahaha. Mkuu nitalipa ndiyo maana niliomba ushauri hapa kwa smooth exit.
 
Just resign, sidhani kama mwajiri atakuzuia eti kwasababu unao mkopo but one thing; riba kwa Tanzania zipo juu sana kulinganisha na nchi nyingi including za Kiafrika; one of the reason ya rate zetu kua kubwa ni hi ya Wabongo wengi kuchukua mikopo halafu hatulipi hence bankers wanao kama kumkopesha mfanyakazi that is an secured loan and the the rate charge should be high, kwa maana nyingine, waaminifu wachache wawalipie hadi wasio waaminifu so please, jitahidi kulipa mkopo huo ili riba zipungue tafadhari
Hahahaha. Mkuu nitalipa ndiyo maana niliomba ushauri hapa kwa smooth exit.
 
Hakuna wakati muafaka. Akitaka kuacha kazi anaacha muda wowote na wakati wowote. Hakuna perfect timing.

Hakuna kitakachozuia wala kuingilia mchakato wake wa kuacha kazi nje ya yeye mwenyewe. Hakuna cha timing wala nini.

Bado hujajenga hoja inayoeleweka.
We jamaa mbishi sana. Hadi sasa unakomaa tu na hoja ambayo umeshafanuliwa vizuri! Mdau hajasema kuwa kuna kinachozuia kuacha kazi. Kashauri kuhusu muda gani awajulishe bank , aidha kabla au baada ya kuacha kazi. Bank ukishawaalert huwa wasumbufu sana, bora kusepa then wakiona makato hayaji wakutafute mjadili jinsi ya kulipana. Usibishe tena ndugu yangu. Sawa?
 
wenzako wanatafuta kazi alafu ww unaacha kazi... ushauri wangu usiache fanya kazi huku unapiga mishe zako zingine..

kazi ya serikali ni security tosha if know what i mean

hizi semina za hawa motivational speakers zinawaponza sana watu daaaah
Which security bro? Do you know how many people are living out there without these govt jobs and are very happy? I think you have no taste of being your own boss, no matter how much you get what matters is true happiness.
 
Back
Top Bottom