Wakuu natafuta ndege aina ya BOEING 737 used niinunue inisaidie katika misele yangu ya kila siku na mambo fulani ya kula bata, ambaye anajua sehemu zilipo anijuze hapa please
Google ...George Hallack . na Mmasi RIP utapata full information kuhusu used Boeing na jinsi ya kununua au ku Lease.
Khaa!! Muone Prof. mshana jr
Mkuu ukipata usisahau kuna kufanya service kwenye karakana yangu barabara ya Chang'ombe .
Pia tunatoa huduma ya kuziba pancha, wheel allignment na Washing Bay...
Karibu sana
Mkuu unafanya kazi TRA nini? Maana huko mtu kuwa na majumba 73 sio ajabu.
Wakuu natafuta ndege aina ya BOEING 737 used niinunue inisaidie katika misele yangu ya kila siku na mambo fulani ya kula bata, ambaye anajua sehemu zilipo anijuze hapa please